Sawa mkuu nakucheki.Mkuu kwanza Pole, Consumption kama hiyo kwa gari ya Cc1490 siyo kawaida hata kidogo. Kama gari iko mjini Dar es alaam nicheck ninaweza kuwa na solution ya tatizo lako. 0688 758 625 au 0621 221 606.
Lakini Mkuu gari ikiwa na nguvu sana na inakimbia lazima ibugie mafuta, naona unapata experience ya Crown Majesta kwenye Allion[emoji3][emoji3][emoji3]
Hapo kwenye crown[emoji3][emoji3][emoji3]