Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heavy duty.
Moja ya gari zuri sana sema watu hawajaijulia. Nilikua nayo iyo chuma aisee.Baby walker Runex mkeka wa manyoni itigi mpaka nzega uko vizuri kuliko kupitia singida pia nzega shinyanga ile barabara walijenga kampun ya south walitulia sana ingawa niliendesha usiku kucha, niliingia mwanza saa saa 10 alfajiri issue ya mafuta niliweka full tank dodoma nikaja kuongezea tabora lita 22 ambazo nimetoboa mwanza nikiwa bado nina 3/4 ya mafuta kwenye gari
Mtuelezena.point mtakazopita ili tuweze kushuhudiaUna gari gani nijipime? Tunaweka Lita 20 kila mmoja mshindi anaondoka na 40L.
Kwa kilometa 30 Dar es Salaam ni street racing. Ukikutana na roli upande wako inakula kwako.Mtuelezena.point mtakazopita ili tuweze kushuhudia
Kipengere itakuwa race pekee au na drags
JituMirabaMinneNaombeni fundi humu wazee, au yeyote yule anaeza nisaidia hii issue hata kimawazo tu.
Nina toyota allion inakula sana mafuta yani 1L ni kama km 6 au 6 point kwa hapa town. Ni allion a15 nimepewa juzi na jamaa angu. Ila gari ina nguvu na inakimbia kweli. Sasa sijui shida ni nini hapo kwenye hiyo consumption.
Nilikuwa natumia TI ilikua inatumia mafuta kidogo sana.
Mkuu kwanza Pole, Consumption kama hiyo kwa gari ya Cc1490 siyo kawaida hata kidogo. Kama gari iko mjini Dar es alaam nicheck ninaweza kuwa na solution ya tatizo lako. 0688 758 625 au 0621 221 606.Naombeni fundi humu wazee, au yeyote yule anaeza nisaidia hii issue hata kimawazo tu.
Nina toyota allion inakula sana mafuta yani 1L ni kama km 6 au 6 point kwa hapa town. Ni allion a15 nimepewa juzi na jamaa angu. Ila gari ina nguvu na inakimbia kweli. Sasa sijui shida ni nini hapo kwenye hiyo consumption.
Nilikuwa natumia TI ilikua inatumia mafuta kidogo sana.
Check fire plugs, air filters, gear ratio. Hivyo vinaweza kuchangia unywaji wa mafuta sanaNaombeni fundi humu wazee, au yeyote yule anaeza nisaidia hii issue hata kimawazo tu.
Nina toyota allion inakula sana mafuta yani 1L ni kama km 6 au 6 point kwa hapa town. Ni allion a15 nimepewa juzi na jamaa angu. Ila gari ina nguvu na inakimbia kweli. Sasa sijui shida ni nini hapo kwenye hiyo consumption.
Nilikuwa natumia TI ilikua inatumia mafuta kidogo sana.
Sasa kama umebeba bia ukanywee nyumbani sasa hapo unakosa ganiNilichogundua barabarani ukiwa umekunywa ama umepatwa na kidhibiti cha ulevi basi wewe huna haki hata kama umetendewa wewe kosa, so tuepuke kubeba viushahidi kama chupa za pombe nk. tuwapo njiani.
Nenda nayo mkoani🤣Niliendeshaga M3 E92 jamani. CC4000 S65 engine ile jamani jamani jamani jamani...
Bongo tunabaniwa sana barabara aisee.
yani wanagonga uso kwa uso kwenye double lane jamani tanzania watu tufuate sheriaKama kuna wenye ndugu zao waliosafiri na bus la KIDINILO leo wapige simu waulizie huko au hao waliokuwa kwenye gari ndogo kama ni ndugu zao[emoji33][emoji33][emoji33]View attachment 2737303
Bro, 4.0L hafu na ile ground clearance hapana. Labda Tanga maana ule mkoa kidogo barabara zake zinaeleweka.Nenda nayo mkoani🤣
🤣 Hahahah dude ukilivuta kidogo 100 hii hapa. 😂😂😂Bro, 4.0L hafu na ile ground clearance hapana. Labda Tanga maana ule mkoa kidogo barabara zake zinaeleweka.
Pili, mwenye nayo kuniachia hadi B'Moyo tu alikua seat ya kushoto.
Baby walker Runex mkeka wa manyoni itigi mpaka nzega uko vizuri kuliko kupitia singida pia nzega shinyanga ile barabara walijenga kampun ya south walitulia sana ingawa niliendesha usiku kucha, niliingia mwanza saa saa 10 alfajiri issue ya mafuta niliweka full tank dodoma nikaja kuongezea tabora lita 22 ambazo nimetoboa mwanza nikiwa bado nina 3/4 ya mafuta kwenye gari
Hakuna mashimoKipande cha SHY to Misungwi/Mwanza kulikuwaga na mashimo mengi ya hatari sana barabarani. Vipi kwasasa barabara ipoje kwa kipande hicho?
-Kaveli-
Mie Brevis 1JZ-FSE inanipa km 3.2 kwa lita 1. Ila chanzo nilichokonoa nozzles. Sasa hapa nataka niweke engine nyingine tu.Naombeni fundi humu wazee, au yeyote yule anaeza nisaidia hii issue hata kimawazo tu.
Nina toyota allion inakula sana mafuta yani 1L ni kama km 6 au 6 point kwa hapa town. Ni allion a15 nimepewa juzi na jamaa angu. Ila gari ina nguvu na inakimbia kweli. Sasa sijui shida ni nini hapo kwenye hiyo consumption.
Nilikuwa natumia TI ilikua inatumia mafuta kidogo sana.
Hata scania sidhani kama linakunywa hivyo.Mie Brevis 1JZ-FSE inanipa km 3.2 kwa lita 1. Ila chanzo nilichokonoa nozzles. Sasa hapa nataka niweke engine nyingine tu.