Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Sawa mkuu nakucheki.

Hapo kwenye crown[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ilikuwa Jana Route ilianza Saa 2 asubuhi Dar na kufika Singida Saa 1 jioni, na vituo vilikuwa vitatu
1.Morogoro
2.Gairo
3.Issuna

Aina ya Gari Premio(X) 2007(Second Generation)
Nikili kwa kusema hii gari ina stability nzuri hata ukiwa 140 na imejitahidi pia kwenye Ground clearance nilitaka niipandishe ila kila sehemu inapita nimeona niache hivyo hivyo.

Mwendo ulikuwa ni wa serikali tu 80 hadi 120 mala chache sana 140 na kwenye 50 naenda 50 sijala cheti wala kusimamishwa na Traffic hata sehemu moja.

Mafuta Full tank hadi Singida imebaki Robo tank.

Dereva bado sio Pro sana na Gari ndo kwanza imepata usajiri j3.

Location kwenye Video: IKUNGI-SINGIDA
Your browser is not able to display this video.
 
Company kwenye safari ndio unyama. Congratulations. Premio gari zuri.
 
Nimeanza route from dsm,lindi,mtwara,songea,njombe,iringa now nimegeuza niko njombe nishatafuna km kilometers 5200 mpk ss maana mikoa yote navuruga wilaya kadhaa natumia gari aina ya iveco huna nabinya 90-100klms per hour inanipa cossuption nzuri kwa hizi heavy duty truck.i.e napata cossuption ya 3 klms per litre.naomba kuwakilisha![emoji120]
 
Khs vibao vya 50 haviniusu maana natumia zile plate no tukufu za jamuhuri huru[emoji847]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…