Heri ya mwaka mpya
RRONDO , nafurahi kukuona baada ya ukimya wa muda.
Nipe code niende Kwa speed Gani mafuta yasiende sana? Nimeshawakiwa na taa ya mafuta ikikaribia kuwa empty nikifika Dodoma kutokea Dar. Hapo ni Kwa speed ya 100-150.
Kwa Sasa nipo Mwanza nataka nirudi na njia ya kupitia Nzega-Tabora-Manyoni-Dodoma. Naona nikipiga full tank Mwanza ntatafuta Tena Kituo Dodoma.
Gari ni T5 XC 60. Ila Kuna wakati nilienda Moro na misele mingi Kwa speed ya 80-100 ilikua kutalii tu, full tank nilienda na kurudi na mafuta yalibaki.
Kwanza hiyo barabara ya kupitia Tabora si Iko shwari?