Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Aiseeeh, kama ulikuwa unaenda hadi spidi 150, hilo basi lililokupita lilikiwa spidi ngapi....!!!!?

Sijui abiria wake walikuwa wamelala...!!???

Au ndo ile ukiwa ndani ya gari hauhisi mwendo mnaoenda.....!!!

Kikubwa mfike salama ila kwa huo mwendo, likitokea la hamadi, hakuna msalie mtume....!!

Well, ujana maji ya moto...

Uzee ni kujiandaa kurudisha chenchi...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unajua nimeanza kusoma hii comment yako kabla ya kuangalia hiyo clip
Sasa nilipoiangalia hilo basi lilivyokuwa linapepea imebidi nicheke tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unajua nimeanza kusoma hii comment yako kabla ya kuangalia hiyo clip
Sasa nilipoiangalia hilo basi lilivyokuwa linapepea imebidi nicheke tu

Yaani na limepepea kwelikweli si mchezoo...

Wakati naanza kuiangalia hiyo video, jinsi basi lilivyoovateki, nilijua zile video game za kuendesha magari....

Nilipoona hii gari ndogo inavofukuza basi, nilijihisi niko ndani ya gari ndogo...

Niseme ukweli, nilijikuta nakanyaga breki hewa... 😁😁😁.
 
[emoji848]
Screenshot_20231227_135752_WhatsAppBusiness.jpg
 
Heri ya mwaka mpya RRONDO , nafurahi kukuona baada ya ukimya wa muda.

Nipe code niende Kwa speed Gani mafuta yasiende sana? Nimeshawakiwa na taa ya mafuta ikikaribia kuwa empty nikifika Dodoma kutokea Dar. Hapo ni Kwa speed ya 100-150.

Kwa Sasa nipo Mwanza nataka nirudi na njia ya kupitia Nzega-Tabora-Manyoni-Dodoma. Naona nikipiga full tank Mwanza ntatafuta Tena Kituo Dodoma.

Gari ni T5 XC 60. Ila Kuna wakati nilienda Moro na misele mingi Kwa speed ya 80-100 ilikua kutalii tu, full tank nilienda na kurudi na mafuta yalibaki.

Kwanza hiyo barabara ya kupitia Tabora si Iko shwari?
 
Heri ya mwaka mpya RRONDO , nafurahi kukuona baada ya ukimya wa muda.

Nipe code niende Kwa speed Gani mafuta yasiende sana? Nimeshawakiwa na taa ya mafuta ikikaribia kuwa empty nikifika Dodoma kutokea Dar. Hapo ni Kwa speed ya 100-150.

Kwa Sasa nipo Mwanza nataka nirudi na njia ya kupitia Nzega-Tabora-Manyoni-Dodoma. Naona nikipiga full tank Mwanza ntatafuta Tena Kituo Dodoma.

Gari ni T5 XC 60. Ila Kuna wakati nilienda Moro na misele mingi Kwa speed ya 80-100 ilikua kutalii tu, full tank nilienda na kurudi na mafuta yalibaki.

Kwanza hiyo barabara ya kupitia Tabora si Iko shwari?
100-120kph ni nzuri sana. Lakini hio T5 kutembea mwendo wa kizee ni matumizi mabaya ya rasilimali.
Sahau mafuta have fun enjoy the ride
 
Back
Top Bottom