Kwa gari za diesel ziko so torquey huwa RPM haiendi kufikia 3000+ ila kwa Petrols hasa hizi engine ndogo ndogo za chini ya 2000cc unakuta zinafika humo.Hizo rpm za 3000 sijawahi fika..but speed ya 140 -150 nmefika kwa rpm za kawaida sana not more than 2500
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aiseeeh, kama ulikuwa unaenda hadi spidi 150, hilo basi lililokupita lilikiwa spidi ngapi....!!!!?
Sijui abiria wake walikuwa wamelala...!!???
Au ndo ile ukiwa ndani ya gari hauhisi mwendo mnaoenda.....!!!
Kikubwa mfike salama ila kwa huo mwendo, likitokea la hamadi, hakuna msalie mtume....!!
Well, ujana maji ya moto...
Uzee ni kujiandaa kurudisha chenchi...
Hio dash mbona kama ya Mark 2 hiviBrevis imefanya kazi kweli kweli (at 5K revs.)View attachment 2852086
Hii video nimeikuta mahali sikuwa mie.... Ila hizo Bus za safari njema zote zilikuwa za moto. Gari ndogo zenye kifua ndio zilikuwa zinaenda na hizo bus. Na hii ilikuwa muda kidogo.
Ni kweli hapo ikipasua tairi ya mbele hakuna maisha tena.
Video ya muda sana hiyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unajua nimeanza kusoma hii comment yako kabla ya kuangalia hiyo clip
Sasa nilipoiangalia hilo basi lilivyokuwa linapepea imebidi nicheke tu
Mkuu unapita kwenye kamji ketu 365 days free view ya mlimaView attachment 2851558 KLM kwa mbaali
Maelezo wanayoweka mtandaoni huwa yanatolewa from derived research
100-120kph ni nzuri sana. Lakini hio T5 kutembea mwendo wa kizee ni matumizi mabaya ya rasilimali.Heri ya mwaka mpya RRONDO , nafurahi kukuona baada ya ukimya wa muda.
Nipe code niende Kwa speed Gani mafuta yasiende sana? Nimeshawakiwa na taa ya mafuta ikikaribia kuwa empty nikifika Dodoma kutokea Dar. Hapo ni Kwa speed ya 100-150.
Kwa Sasa nipo Mwanza nataka nirudi na njia ya kupitia Nzega-Tabora-Manyoni-Dodoma. Naona nikipiga full tank Mwanza ntatafuta Tena Kituo Dodoma.
Gari ni T5 XC 60. Ila Kuna wakati nilienda Moro na misele mingi Kwa speed ya 80-100 ilikua kutalii tu, full tank nilienda na kurudi na mafuta yalibaki.
Kwanza hiyo barabara ya kupitia Tabora si Iko shwari?
Mimi naukubali wa BM.. usiku kwa usiku, asubuhi tunakunywa nao chaiHuu utaratibu wa kuondoka saa11 alfajiri nimeuelewa
Mapema sana tuko Mkoani
Wishing u a happy ending of the year 2023
Nisizuge,, nimekumissHappy new year wana ROAD TRIP...May God bless you all and have prosperous 2024!