Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
"God has compensated the losted blessing."Mwisho wa mwaka 2023 sikuweza kusafiri nilikuwa busy na ujio wa Jr.
Hopeful 2024 tutapiga trip na Jr.
In fact road trip ya mwisho wa mwaka 2022 ndio Jr alitengenezwa
😎😎
Ila ni nzuri, Unalala unaamka ulishafika.Mimi naukubali wa BM.. usiku kwa usiku, asubuhi tunakunywa nao chai
OC hazijashuka?Maokoto yamekataa sahivi December nzima sijatoka ata Bagamoyo. January itapita ila Feb nitajibless.
Happy New year kwako na kwa familia.Jr awe blessing kwenu.Mwisho wa mwaka 2023 sikuweza kusafiri nilikuwa busy na ujio wa Jr.
Hopeful 2024 tutapiga trip na Jr.
In fact road trip ya mwisho wa mwaka 2022 ndio Jr alitengenezwa
😎😎
Nahisi nitaenda. Naanza kujikusanya Jan hii.Kilimanjaro marathon February kuna vibe kama la December
Wanasema hadi mwaka mpya wa serikali sio huu wakwetu. 😁OC hazijashuka?
Hahah poleni mkuu,Jana mimi kuna 2 za Oc waliniingizia.Wanasema hadi mwaka mpya wa serikali sio huu wakwetu. 😁
Peleka vurugu barabarani sio Bar. Experience ya Road Trip ni unforgettable.Hahah poleni mkuu,Jana mimi kuna 2 za Oc waliniingizia.
Disco 2 V8(cc 4000) linanipelekesha,nimekituliza tu home mkuu.Peleka vurugu barabarani sio Bar. Experience ya Road Trip ni unforgettable.
100-120kph ni nzuri sana. Lakini hio T5 kutembea mwendo wa kizee ni matumizi mabaya ya rasilimali.
Sahau mafuta have fun enjoy the ride
Unashauri gari ndogo cc1490 kwa speed ya 100-150 rpm iwe ngap ili consumption iwe ya nzuriKwa gari za diesel ziko so torquey huwa RPM haiendi kufikia 3000+ ila kwa Petrols hasa hizi engine ndogo ndogo za chini ya 2000cc unakuta zinafika humo.
Nzuri ni kuibalance kwenye 1500-2000Unashauri gari ndogo cc1490 kwa speed ya 100-150 rpm iwe ngap ili consumption iwe ya nzuri
Mwisho wa mwaka 2023 sikuweza kusafiri nilikuwa busy na ujio wa Jr.
Hopeful 2024 tutapiga trip na Jr.
In fact road trip ya mwisho wa mwaka 2022 ndio Jr alitengenezwa
😎😎
Aunt kama Aunt......Wuuuhuuuuuuuu wacha nikapike matoke tena, kumbe Bataringaya is in the house.....😋😋😋😋.
Mwambie shangazi anakuja kutoka chijijini na matoke na mabungo yanasaidia kuongeza nguvu mwilini na kukua vyema 😊.
Wifi ntamletea Sanvita ya Blackcurrant apoze uchovu wa kutuletea Bataringaya.
Kyanzia sasa jina la Baba Bataringaya ni official 😊😊😊....
🥂🥂🥂.
Aunt kama Aunt......