Yes, Tunduma hadi Sumbawanga ni kilomita 225 hivi, matuta yapo kama 220 hivi hapo bila kuhesabu rasta!Na ndo barabara yenye matuta mengi kuliko yoyote hapa nchi,idadi ya matuta inazidi idadi za kilometa za barabara
Kwa jinsi wanavyopenda sifa yakikauka watayapendesha tena ili tuzidi kukerekaYale mabango ya "...kwa msaada wa watu wa..." yananikera kwelikweli, ila sina jinsi natamani yabauke yasisomeke. Nasikia aibu.
Mkulu alishasema yakipungua ukubwa yasiongezwe tena.Kwa jinsi wanavyopenda sifa yakikauka watayapendesha tena ili tuzidi kukereka
kwa africa bado sana titaendelea kufadhiliwa....viongozi wetu bado hawajaamua kujitawala....wao wanahangaika kujua ni namna gani watasalia madarakani....Yale mabango ya "...kwa msaada wa watu wa..." yananikera kwelikweli, ila sina jinsi natamani yapauke yasisomeke. Nasikia aibu.
Duh nimevuta picha umejiachia ghafla unakuta kundi la watu katikati ya barabara!Mkulu alishasema yakipungua ukubwa yasiongezwe tena.
Nilifanikiwa kupita njio hiyo wakati ikijengwa kabla lami haijafika Sumbawanga.
Kulikuwa hakuna matuta kama yaliyopo sasa bali kulikuwa na rasta tu, tena zile rasta za kuchimbwa chini, hivyo gari hupita vizuri tu na kutetema kidoogo kuashiria kivuko cha wenda kwa miguu mbele.
Lakini baada ya kukamilia yakawekwa matuta ya kufa mtu.
Eeee, walikuwa na sababu nzuri ya kufanya hivyo, ajali zilikuwa nyingi za magari kuanguka na pia ajali za wanavijiji kugongwa mara kwa mara.
Ni jambo la kawaida sana ukipita hata saa tisa za usiku kukuta wanakijiji wamekaa ama kusimama katikati ya lami wakipiga stori. Yani wamekufa wengi kwa kugongwa.
Ila kwa miaka hii tayari wanavijiji wamejifunza, hivyo hakuna haja ya kuwekwa matuta meeeeengi kama ilivyo bali yaachwe machache tu sehemu muhimu lakini alama na michoro ya barabarani iongezwe.
Kujaza matuta barabarani ni ushamba mkubwa sana.Yes, Tunduma hadi Sumbawanga ni kilomita 225 hivi, matuta yapo kama 220 hivi hapo bila kuhesabu rasta!
Ila nilivyopita siku chache zilizopita, niliona kama kuna baadhi ya matuta yameondolewa, ila bado yapo mengi sana.
Wazee wa kumaliza 'kisahani' panawafaa ila utamu unakatishwa na tuta la kufa mtu.
Hao wana vijiji wanafuata nini barabarani?Mkulu alishasema yakipungua ukubwa yasiongezwe tena.
Nilifanikiwa kupita njio hiyo wakati ikijengwa kabla lami haijafika Sumbawanga.
Kulikuwa hakuna matuta kama yaliyopo sasa bali kulikuwa na rasta tu, tena zile rasta za kuchimbwa chini, hivyo gari hupita vizuri tu na kutetema kidoogo kuashiria kivuko cha wenda kwa miguu mbele.
Lakini baada ya kukamilia yakawekwa matuta ya kufa mtu.
Eeee, walikuwa na sababu nzuri ya kufanya hivyo, ajali zilikuwa nyingi za magari kuanguka na pia ajali za wanavijiji kugongwa mara kwa mara.
Ni jambo la kawaida sana ukipita hata saa tisa za usiku kukuta wanakijiji wamekaa ama kusimama katikati ya lami wakipiga stori. Yani wamekufa wengi kwa kugongwa.
Ila kwa miaka hii tayari wanavijiji wamejifunza, hivyo hakuna haja ya kuwekwa matuta meeeeengi kama ilivyo bali yaachwe machache tu sehemu muhimu lakini alama na michoro ya barabarani iongezwe.
Barabara inajengwa porini halafu out of nowhere unakuta kamji kamezuka hapo katikati.Duh nimevuta picha umejiachia ghafla unakuta kundi la watu katikati ya barabara!
Inashangaza sana!Hao wana vijiji wanafuata nini barabarani?
Usiku wa 'manane'!Barabarani ndio kuna maisha,biashara na kuona vitu vizuri vikipita
Hapo mbele 50 inaisha....inaanza kujiachia!
Duh unanipa mzuka wa road trip!