Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Njia ya kuelekea Marangu
👍👍👍.
Marangu mtoni.

Kuna wachaga nilikuwa nafanya nao kazi, nilikuwa nawatania hatari kwa salamu za kichaga.....😅😅 kuna dada wa Kihaya pia wakati nasoma A Level alikuwa ananipenda alitaka niolewe na kaka yake. Basi akawa ananifundisha Kihaya....😜😜😜

Akili za Kasinde sasa.... nani anataka kunshutama na katweereerwoo....😁😁😁

Tangu hapo nikizoeana na mhaya namtania hadi anakuwa mpole...😅.

Basi tuu akili za Kasinde, uzuri wake walikuwa hawakasiriki.
 
Ilikuwa ni zaid ya robo tatu ya safari kufika mwisho wa safar mkoa flan.
Ilikuwa usiku mkubwa ndani ya ROSA Unadhani hapa palikuwa mkoa gani?
1000286560.jpg
1000286559.jpg
 
Hao wenye Lori lililoharibika sio waungwana.....

Walitakiwa waweke matawi ya miti pande zote kuashiria gari zinazokuja kuna hatari wapunguze mwendo ili hata wanao overtake wawe kwenye mwendo mdogo hadi wapite eneo la hatari.

Kuna siku nilifanya safari ya hasira za mkizi, miaka kadhaa huko nyuma....

Kuna watu walinikera, mchana wa jua kali nikatoka kwenye kitongoji nilichopo kuelekea Bagamoyo. Saa nane mchana nikawa kituo cha mafuta BP pale baada ya round about.

Nikaweka full tank, nikaanza safari... niliingia Tanga mjini saa moja kasoro usiku. Nilipanga kulala, ila saa tatu usiku nikaanza safari ya kurudi Dar. Nilikunywa Redbull 2 macho yakawa kama fundi saa...
Nilikuwa nasimamishwa kwenye vizuizi vya checkpoint nashusha vioo, nasalimia wananiuliza unatoka wapi unaenda wapi najibu huyooo natambaa.... spidi inapunguzwa kwenye tuta tuu baada ya hapo ni kunyoosha goti.

Saa saba kasoro usiku niko tena kituo cha mafuta BP pale Bagamoyo kuweka mafuta maana mshale ulikuwa umelala empty.

Tanga sikuweka mafuta, niliingia kitongojini kwangu saa nane usiku. Sina hamu maana, kuna muda nilijuta kwanini niliendekeza hasira, ila kesho yake nikasikia raha kwa kuwa nilienda nikarudi salama.

Usiku mnene unatisha hasa ile barabara ya Msata Bagamoyo, kiza kinenee nikawa nawaza, nikipata pancha hapa ndo basi tena....[emoji16].
Sikurudia na wala sitakaa nirudie tena huo mchezo.

Akili za Kasinde [emoji846].
Bibi ulitisha sanaa
 
Hao wenye Lori lililoharibika sio waungwana.....

Walitakiwa waweke matawi ya miti pande zote kuashiria gari zinazokuja kuna hatari wapunguze mwendo ili hata wanao overtake wawe kwenye mwendo mdogo hadi wapite eneo la hatari.

Kuna siku nilifanya safari ya hasira za mkizi, miaka kadhaa huko nyuma....

Kuna watu walinikera, mchana wa jua kali nikatoka kwenye kitongoji nilichopo kuelekea Bagamoyo. Saa nane mchana nikawa kituo cha mafuta BP pale baada ya round about.

Nikaweka full tank, nikaanza safari... niliingia Tanga mjini saa moja kasoro usiku. Nilipanga kulala, ila saa tatu usiku nikaanza safari ya kurudi Dar. Nilikunywa Redbull 2 macho yakawa kama fundi saa...
Nilikuwa nasimamishwa kwenye vizuizi vya checkpoint nashusha vioo, nasalimia wananiuliza unatoka wapi unaenda wapi najibu huyooo natambaa.... spidi inapunguzwa kwenye tuta tuu baada ya hapo ni kunyoosha goti.

Saa saba kasoro usiku niko tena kituo cha mafuta BP pale Bagamoyo kuweka mafuta maana mshale ulikuwa umelala empty.

Tanga sikuweka mafuta, niliingia kitongojini kwangu saa nane usiku. Sina hamu maana, kuna muda nilijuta kwanini niliendekeza hasira, ila kesho yake nikasikia raha kwa kuwa nilienda nikarudi salama.

Usiku mnene unatisha hasa ile barabara ya Msata Bagamoyo, kiza kinenee nikawa nawaza, nikipata pancha hapa ndo basi tena....😁.
Sikurudia na wala sitakaa nirudie tena huo mchezo.

Akili za Kasinde 🙂.
Mkuu barabara zote za Tanzania usiku ni kama kucheza kamari Tu...jaribu kutoka DAR usiku kwenda DODOMA hapa unaweza kupaki pembeni ukasubiri asubuhi ufanye Safar
 
Hao wenye Lori lililoharibika sio waungwana.....

Walitakiwa waweke matawi ya miti pande zote kuashiria gari zinazokuja kuna hatari wapunguze mwendo ili hata wanao overtake wawe kwenye mwendo mdogo hadi wapite eneo la hatari.

Kuna siku nilifanya safari ya hasira za mkizi, miaka kadhaa huko nyuma....

Kuna watu walinikera, mchana wa jua kali nikatoka kwenye kitongoji nilichopo kuelekea Bagamoyo. Saa nane mchana nikawa kituo cha mafuta BP pale baada ya round about.

Nikaweka full tank, nikaanza safari... niliingia Tanga mjini saa moja kasoro usiku. Nilipanga kulala, ila saa tatu usiku nikaanza safari ya kurudi Dar. Nilikunywa Redbull 2 macho yakawa kama fundi saa...
Nilikuwa nasimamishwa kwenye vizuizi vya checkpoint nashusha vioo, nasalimia wananiuliza unatoka wapi unaenda wapi najibu huyooo natambaa.... spidi inapunguzwa kwenye tuta tuu baada ya hapo ni kunyoosha goti.

Saa saba kasoro usiku niko tena kituo cha mafuta BP pale Bagamoyo kuweka mafuta maana mshale ulikuwa umelala empty.

Tanga sikuweka mafuta, niliingia kitongojini kwangu saa nane usiku. Sina hamu maana, kuna muda nilijuta kwanini niliendekeza hasira, ila kesho yake nikasikia raha kwa kuwa nilienda nikarudi salama.

Usiku mnene unatisha hasa ile barabara ya Msata Bagamoyo, kiza kinenee nikawa nawaza, nikipata pancha hapa ndo basi tena....😁.
Sikurudia na wala sitakaa nirudie tena huo mchezo.

Akili za Kasinde 🙂.
Nchi salana hii, trip piga muda wowote ukipata breakdown lala popote 🤣
 
Nchi salana hii, trip piga muda wowote ukipata breakdown lala popote 🤣

Uuweeeh....!!! Mi licha ya umri kusonga namuiga Baba Bataringaya 🙌.

Nimestaafu mambo ya kiza kinene, nyie endeleeni kutuwakilisha.

Wee lile giza la kwenye yale madaraja ya kati ya Bagamoyo na Msata unalionaga.....

Halafu ile siku napita sikupishana na gari yeyote toka Msata hadi nafika kituo cha mafuta BP, weeeh.... sina hamu.

Wakati najaza mafuta tena ile usiku mnene pale BP nilikuta Nissan Patrol zile tinted (za kazi maalum za kiserikali) niliitambua haraka japo ina plate namba za kawaida.

Dereva alikuwa ananitolea macho yenye maswali ila hana namna ya kuniuliza....

He was like, wewe mwanamke, usiku wote huu unatoka wapi, halafu nilivokuwa nimevaa sasa.... kilemba gauni kama dera ila linaishia magotini, viatu chachacha za ngozi soli ya mpira ile inakunjika kama silicon....🤪🤪🤪

Nikawa najinyoosha maana ndo sehemu niliona salama kushuka tangu kuanza safari Tanga, kisha huyooo nikamalizia safari hadi kitongojini nikapumzisha Bange za Kasinde.
 
Uuweeeh....!!! Mi licha ya umri kusonga namuiga Baba Bataringaya 🙌.

Nimestaafu mambo ya kiza kinene, nyie endeleeni kutuwakilisha.

Wee lile giza la kwenye yale madaraja ya kati ya Bagamoyo na Msata unalionaga.....

Halafu ile siku napita sikupishana na gari yeyote toka Msata hadi nafika kituo cha mafuta BP, weeeh.... sina hamu.

Wakati najaza mafuta tena ile usiku mnene pale BP nilikuta Nissan Patrol zile tinted (za kazi maalum za kiserikali) niliitambua haraka japo ina plate namba za kawaida.

Dereva alikuwa ananitolea macho yenye maswali ila hana namna ya kuniuliza....

He was like, wewe mwanamke, usiku wote huu unatoka wapi, halafu nilivokuwa nimevaa sasa.... kilemba gauni kama dera ila linaishia magotini, viatu chachacha za ngozi soli ya mpira ile inakunjika kama silicon....🤪🤪🤪

Nikawa najinyoosha maana ndo sehemu niliona salama kushuka tangu kuanza safari Tanga, kisha huyooo nikamalizia safari hadi kitongojini nikapumzisha Bange za Kasinde.
yan ulikuwa mtu wa kaz kaz. Haha haaa
 
Back
Top Bottom