Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh ngoja weekend niende hata Msata nitoe carbon naona gari inatamani kugusa walau 160kph
Mkuu naona Hadi night Kali unamwaga Moto Tu...Ila usiku ni hatari sana kuendesha gari ingawa kuna Raha Sana,Tuwe makini nyakati zote za usiku, kicheche kinaweza kukuletea majanga hata kama hakipo upande wako. Segera hiyo mida yetu ya kutawala
View attachment 3000155
Najitahidi sana kukwepa safari za usiku. Macho yashaanza kuchpka.Tuwe makini nyakati zote za usiku, kicheche kinaweza kukuletea majanga hata kama hakipo upande wako. Segera hiyo mida yetu ya kutawala
View attachment 3000155
Hamna moto humo itakuwa video tu. Spidi ya kawaida sana ndio maana nimeweza kurekebisha kosa lake kirahisi. La sivyo ningepeleka gari zima kichakani likachimbe dawa.Mkuu naona Hadi night Kali unamwaga Moto Tu...Ila usiku ni hatari sana kuendesha gari ingawa kuna Raha Sana,
Kwenye hiyo clip naona mwenye roli alikuwa anakuuzia mauti
Ng'ombe hazeeki maini mkuu, au ndio mdomo hauwezi tena kutafuna hamna namna ingine 🤣Najitahidi sana kukwepa safari za usiku. Macho yashaanza kuchpka.
Hapo ingekuwa mchana ningeona mapema tu kuwa jamaa kajaa kwanguNdio maana napenda mchana tu ili nimwage moto vizuri.
Na awe anakupiga mataa full kama huyo wa lori hapo. Huoni lolote.Usiku kuna mambo sana. Kuna zile barabara hazina mistari, so hujui mtu kajaa kwako au uko nje yaani hatari
Tuwe makini nyakati zote za usiku, kicheche kinaweza kukuletea majanga hata kama hakipo upande wako. Segera hiyo mida yetu ya kutawala
View attachment 3000155
Najitahidi sana kukwepa safari za usiku. Macho yashaanza kuchpka.
Nice try...umeingia chaka