ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Safari njema mkuuThanks mkuu, weekend ijayo nafikiri nitaitumia hio njia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safari njema mkuuThanks mkuu, weekend ijayo nafikiri nitaitumia hio njia.
Hii roadtrip ni hapa hapa bongo?
Nimetizama mara kadhaa nikashindwa kuelewa.Hii roadtrip ni hapa hapa bongo?
Naomba liftThanks mkuu, weekend ijayo nafikiri nitaitumia hio njia.
Nilikuwa natania tu mkuu!!Niko na family mkuu. Gari ndogo.
Unafanya kazi uipendayo. Enjoy mkuuUkifanya kazi za field kuna uzuri wake pia, unakutana na utamu wa asili, Dunia ni nzuri sana pale tunapo safiri na kuona mengi, sisi binadamu ndo tuna shidaView attachment 2908683
Unyama sana Chief.Unafanya kazi uipendayo. Enjoy mkuu
Week hii nimepiga Dar to Mbinga, na stopover za Moro, Iringa na Njombe kwa kazi....Utasikia wese.
Ila wadau wengi wameacha kutumia barabara kwa masafa marefu. Last time kuvuka mikoa mitano kwa barabara sijui ilikua mwaka gani
Mshana, hiyo school bus ilikua na watoto??? [emoji24][emoji24][emoji24]Watu kumi na tano wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha lori na magari mengine madogo matatu katika eneo la by Pass Ngaramtoni wilaya Arumeru Mkoa wa Arusha.
Akitoa taarifa hiyo katika eneo la ajali Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha kamshna msaidizi mwandamizi wa Polisi SACP Justine Masejo amesema ajali hiyo imetokea februari 24,2024 muda wa saa 11 jioni ambapo iliyohusisha lori na magari madogo matatu katika eneo la Ngaramtoni Wilaya ya Arumeru Mkoa wa Arusha.
Kamanda Masejo amesema wanaendelea na uchunguzi wakina ajali hiyo ili kubaini chanzo haiisi cha ajali hiyo.
Aidha amewaomba wananchi kufika katika hosptali ya rufaa ya mount Meru kutambua miili ya waliofariki katika ajali hiyo.View attachment 2915421View attachment 2915422
Nadhani sina hakikaMshana, hiyo school bus ilikua na watoto??? [emoji24][emoji24][emoji24]
Tembea mchana tu na pia safari yako ivunje mara mbili either lala dodoma au singida.Hello waheshimiwa.
Nina safari ya Kahama-Dar mwezi huu, zaidi ya kilometer 1,000.
Umbali niliowahi kuendesha gari non stop ni kilometer 300 tu.
Je nitatoboa? Mna ushauri gani?
Gari ndogo cc 1490.
Mshana Jr