All the best. SGR can only be beaten by ATCL. Weekend yangu ilikuwa amazing. Trip ya kwenda ilichukua 4hrs badala ya 3.5hrs kwasababu ya kusubiri treni zipishane. Ya kurudi right on time 3hrs 35minutes. Kwa 62,000/- kwenda na kurudi bila hussle. Just sit back and enjoy the comfy ride.Leo nimepiga Dar - Moro 2hrs, Dar - Dodoma less than 5h.
Ukijumlisha muda wa kutoka nyumbani kuelekea SGR, na lazima uwahi muda wa departure.... Advantage ya SGR inakua ndogo.
Also nimetumia less than 50l, ambayo ukigawanya per seat ni 10l per person Dar to Dom, Around 32k per person.
Mkoa wa Singida una matraffic wengi sana mpaka nimewauliza imekuwaje sikuhizi? Wakaniambia mkoa mzima upo barabarani.
62k ni round trip first class express?All the best. SGR can only be beated by ATCL. Weekend yangu ilikuwa amazing. Trip ya kwenda ilichukua 4hrs badala ya 3.5hrs kwasababu ya kusubiri treni zipishane. Ya kurudi right on time 3hrs 35minutes. Kwa 62,000/- kwenda na kurudi bila hussle. Just sit back and enjoy the comfy ride.
I'll try the experience hii hype ikiisha tuone kama ntakuwa convinced kupaki gari.Round trip economy class.
Utalii wa ndani.I'll try the experience hii hype ikiisha tuone kama ntakuwa convinced kupaki gari.
Jana kuna watu nawafahamu wameenda stesheni wakapaki wakakwea SGR wakaenda Moro jioni wakarudi wakachukua gari kama wametoka kazini
Aisee safi. Kisahani chao ngapi? Wakimalize 🤣🤣
Kisahani amalize watu tuchukue screenshots tukatambe nayo.Nikimuona dereva nitamwambia gusa 200kph hata kwa sekunde tu 🤣🤣🤣
Nothing beats SGR kwakweli. Hands down. Kupata hiyo average kwa barabara na kuimaintain kwa masaa haiwezekani.
Tukianza kuwa na haraka wataongeza mwendo.Kisahani amalize watu tuchukue screenshots tukatambe nayo.
Naona amemaintain cruise speed ya 130kmph kwa 23km continuously. Hiyo 163 amegusa for 2km huend alikuwa anatest mitambo aliongeza moto
Inatulia kuliko mjerumani kwenye lami safi?Ukiwa humo ndani hata hujui kuwa ina cruise at 160kph