Hivyo vichwa vya njiani sio salama sana kuvibeba.. ni bora utembee mwenyewe tu binadamu siku hizi hatusomeki vizuriWa ajabu sana na ndo wale ukiwapa lift watataka kuwaombea lift na wengine au kukubadilishia radio stations na kupiga na honi kabisa
Ni kweli ila nilihisi mi havinihusu,kuna mwana aliwahi kunisimulia alipakia abiria watatu kutoka Arusha kuja Dom, kufika maeneo ya Bicha akakuta barrier ikiwa na madhumuni ya kuwakamata wale abiria wake kwa kosa la unyang'anyi.Na kwakuwa hawa jamaa hawajui uchunguzi wala upelelezi zaidi ya kupiga marungu ilichukua muda jamaa kuondolewa kwenye shtaka huku viungo vingine vikiwa hoiHivyo vichwa vya njiani sio salama sana kuvibeba.. ni bora utembee mwenyewe tu binadamu siku hizi hatusomeki vizuri
Hatari tupu. Bora utembee peke yako au na mtu wako unae mjua. Haya mambo ya kubeba misala isiyo kuhusu na usawa huu noma tupuNi kweli ila nilihisi mi havinihusu,kuna mwana aliwahi kunisimulia alipakia abiria watatu kutoka Arusha kuja Dom, kufika maeneo ya Bicha akakuta barrier ikiwa na madhumuni ya kuwakamata wale abiria wake kwa kosa la unyang'anyi.Na kwakuwa hawa jamaa hawajui uchunguzi wala upelelezi zaidi ya kupiga marungu ilichukua muda jamaa kuondolewa kwenye shtaka huku viungo vingine vikiwa hoi
[emoji28][emoji28][emoji28]Aiseee kusafiri peke yako ni mzuka zaidi,kuna muda unataka kujamba unashindwa kisa una abiria ndani,au unajamba zako kimyakimya unashangaa tu kaharufu kameibuka tu mara uhangaike kushusha kioo,mara uwashe a/c na hapo ndio balaa zaidi.
Na usipojamba njia nzima utafika tumbo limejaa gas/mifuzi,au nasema uongo ndg zangu?
Situation kama hio hua mnai handle vipi mkiwa na abiria wakuu.
Na kwa kuwa huwa nasafiri mchana tuu,hili somo linanifaa sina haja ya kuokoteza abiriaHatari tupu. Bora utembee peke yako au na mtu wako unae mjua. Haya mambo ya kubeba misala isiyo kuhusu na usawa huu noma tupu
Duh mimi nilisikia msemo 'umepewa lift unataka kupiga honi' sasa huyo kiboko yeye anataka kuendesha kabisa!Kuna siku natoka Mwanza kwenye majira ya jioni nikapata abiria akielekea Dom, sijui alinionaje akaomba nimwachie aendeshe, nikamwambia dada hata kwa nusu km siwezi,wewe subiri ufike na si kingine
Toa lift kwa mtu wa karibu unaemfahamu. Jirani, ndugu, rafiki etc.Mimi hata kutoa lift hapa hapa town naogopa.
Unasimama unasema tukachimbe dawa
Hahah it depends utakuwa upo na nani, kama ni sweetie kwanini uogope? Kama ni abiria shusha kwanza vioo then jiachie kimya kimya ama ukihisi ni gesi nyingi unasimamisha unaomba udhuru wa kuchimba dawa.
Mimi sioni raha katika kusafiri mwenyewe, labda ndani ndio napendaaa sana kuwa mwenyewe sbb zipendi kuvaa vaa manguo.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kuna vibe la safari ya peke yako kwenye gari.. hasa kwa siw wengine popote kambi... umeisha elewa [emoji3][emoji3][emoji3]
Duh umenichekesha sana....uzi wote changamoto hio hatukuijadili....Au nasema uongo ndugu zangu?!
Hiyo ni ya kibabaMy longest drive from Lindi-nach to dodoma-iringa via mtera-mbeya then mbeya-lindi via songea
Nipange mkuu twende sote ukichoka tunapokezana mpini, potsman zinawaka km kawa![emoji847]Mwezi wa pili huu nataka nipige Dar to Arusha. Arusha to Singida. Singida to Mwanza.. nitajaribu kusafiri na mtu [emoji3][emoji3].. nione kama nitaweza
Eee Bwana hiyo Suji ya Makanya usipime, inaitwa Ngulu Suji, wakati nikisoma nilipangiwa field assigment huko, usafiri ulikuwa Lori la Kijiji tunaanzia Makanya kutwa mara moja, yaani unaona mnaingia mawinguni baada ya kuvuka mashamba ya katani.Kuna sehemu inaitwa Suji napo kuna wapare milimani wilaya ya Same ni balaa kuliko huko Usangi wenyewe wanapanda hadi Kwa miguu bila shida.
mara nyingi nikiwa na familia au mwenyewe sichukui vichwa, maana kwa Nchi hii hawakupi zaidi ya 20, mwisho ni buku 10 na ukiharibikiwa wanaomba uwarudishie, na km hujadai ikiharibika umeumia.Hivyo vichwa vya njiani sio salama sana kuvibeba.. ni bora utembee mwenyewe tu binadamu siku hizi hatusomeki vizuri
HahahaaaaDuh afadhali nimejua ili siku nikianzisha ugomvi nijue adui ana nguvu gani.
Gari binafsi ni hatari kubeba abiria.. hata kama wanakupa 50.. unaweza beba mnyonya damumara nyingi nikiwa na familia au mwenyewe sichukui vichwa, maana kwa Nchi hii hawakupi zaidi ya 20, mwisho ni buku 10 na ukiharibikiwa wanaomba uwarudishie, na km hujadai ikiharibika umeumia.
Sidhani....Eee Bwana hiyo Suji ya Makanya usipime, inaitwa Ngulu Suji, wakati nikisoma nilipangiwa field assigment huko, usafiri ulikuwa Lori la Kijiji tunaanzia Makanya kutwa mara moja, yaani unaona mnaingia mawinguni baada ya kuvuka mashamba ya katani.
Enzi hizo ulikuwa Mji wa Wasabato hakuna kazi Jumamosi na Jumapili.
Jumatatu nikaomba uhamisho, ndipo nikahamishiwa Usangi ya Mombasa, Kikweni, Lomwe huko tulifaidi nghande za watoto wa kipare
RRONDO
hebu nihabarishe hivi kule Suji Milimani wameshaweka Lami?
Sehemu za kwenda kutembea hizi.Eee Bwana hiyo Suji ya Makanya usipime, inaitwa Ngulu Suji, wakati nikisoma nilipangiwa field assigment huko, usafiri ulikuwa Lori la Kijiji tunaanzia Makanya kutwa mara moja, yaani unaona mnaingia mawinguni baada ya kuvuka mashamba ya katani.
Enzi hizo ulikuwa Mji wa Wasabato hakuna kazi Jumamosi na Jumapili.
Jumatatu nikaomba uhamisho, ndipo nikahamishiwa Usangi ya Mombasa, Kikweni, Lomwe huko tulifaidi nghande za watoto wa kipare
RRONDO
hebu nihabarishe hivi kule Suji Milimani wameshaweka Lami?