Za huko ziko special kupambana na za wazungu. Upate Camry au Avensis ya UK moto wake balaaKweli, katika gari za toyota ambayo nilionaga ni machine ni haswaa.. nayo ilikuwa ni toleo la canada, toyota corolla.. na ilikuwa na kisahani cha 240.. ile gari inatembea kishenzi.. ilinishangazaga, ila sio crown
Unaweza kupeleka ushahidi bado ukaambiwa hauridhishi.[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kuna gari mkuu mtu mwenye mshahara pekee hawezi endesha ni either awe mfanyabiashara wa kueleweka,mwizi,ametoka kwenye rich family au amepewa zawadi tofauti na hapo [emoji119][emoji119],ingawa TRA nao ni janga lingine [emoji1787]
Nilichanganya zipo hadi za km 30,000+ ila bei zake si habaNa bei zake zitakuwa juu.
Ni kweli, wanatengeza na standard ya zinapo kwenda.. wanajua ulaya nchi nyingi wana barabara za 240 sio huku africa.Za huko ziko special kupambana na za wazungu. Upate Camry au Avensis ya UK moto wake balaa
Wakundie tank la ziada 😀😀😀Tank limeshajaa, pakujaza hapapo tena
Wabongo hatujikubali na hatuwakubali wenzetu.Lakini kiukweli Wahindi wanaomiliki magari haya wengi ni mabilionea. Na unakuta makampuni ndio yamenunua haya magari kwahio hata ukimuuliza unaambiwa gari hii ni ya Jandu enterprises na ukicheki hesabu za hio kampuni mwenyewe unatulia. Kama hesabu zako ziko vizuri unanunua tu majibu si utakuwa nayo.
Balaa hilo!Nilichanganya zipo hadi za km 30,000+ ila bei zake si haba
View attachment 1688515View attachment 1688517
Bado kuna fikra za kijima 😀😀Wabongo hatujikubali na hatuwakubali wenzetu.
Mf. Kuna mada humu zinauliza Kitenge anafanya shughuli gani mapaka kila siku anaenda Marekani.
Kwamba Kitenge hatakiwi kula maisha, anatakiwa kuishi kimasikini.
Ila angekuwa mzungu au muhindi tungeona poa tu.
Nakwambia, leta Bugatti hapa bongo, hata kama una hesabu zilizonyooka, watakung'ang'ania.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Kwahio hamna wabongo wenye magari makali?Wabongo hatujikubali na hatuwakubali wenzetu.
Mf. Kuna mada humu zinauliza Kitenge anafanya shughuli gani mapaka kila siku anaenda Marekani.
Kwamba Kitenge hatakiwi kula maisha, anatakiwa kuishi kimasikini.
Ila angekuwa mzungu au muhindi tungeona poa tu.
Nakwambia, leta Bugatti hapa bongo, hata kama una hesabu zilizonyooka, watakung'ang'ania.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Sana tu.Bado kuna fikra za kijima [emoji3][emoji3]
Wapo wengi sana.Kwahio hamna wabongo wenye magari makali?
Wabongo hatujikubali na hatuwakubali wenzetu.
Mf. Kuna mada humu zinauliza Kitenge anafanya shughuli gani mapaka kila siku anaenda Marekani.
Kwamba Kitenge hatakiwi kula maisha, anatakiwa kuishi kimasikini.
Ila angekuwa mzungu au muhindi tungeona poa tu.
Nakwambia, leta Bugatti hapa bongo, hata kama una hesabu zilizonyooka, watakung'ang'ania.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Mtu anaitwa mnyonge anachekelea.Ujamaa ni kuukumbatia umaskini...leo tunaaminishwa uzalendo ni pamoja na kua maskini[emoji51]
Wajerumani wanaoongoza kununuliwa bongo;Nikitoa unazi wa Volvo, balaa ninalolitamani ni Audi RS6 4.0 TFSI V8 Avant Tiptronic quattro ya 2014.
Goma hili lina:
1. 0-62mph in 3.9 seconds
2. Top speed 155 mph
3. Cylinder 8, Valves 32
4. Engine power ni 552bhp
5. Engine torque ni 516 lbs/ft
Hivi bongo lipo hili gari?
Hili jambo si bongo tu mkuu,kuna gari ukitembelea huko mbele hadi wazungu wenyewe wanaishangaa barabarani au kwenye parking lots sababu ni way too expensive.Wabongo hatujikubali na hatuwakubali wenzetu.
Mf. Kuna mada humu zinauliza Kitenge anafanya shughuli gani mapaka kila siku anaenda Marekani.
Kwamba Kitenge hatakiwi kula maisha, anatakiwa kuishi kimasikini.
Ila angekuwa mzungu au muhindi tungeona poa tu.
Nakwambia, leta Bugatti hapa bongo, hata kama una hesabu zilizonyooka, watakung'ang'ania.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Ni ngumu sana kwa mtu wa kawaida kuhojiwa chanzo cha hela wakati ananunua gari unless kuna kitu very alarming,hata kwa public servant ukiona umefatiliwa juwa kuna usnitch kwa wanaokuzunguka ofisin au uraian.Kuna mtu mwingine unakuta kachomewa na mtu ofisin anaulizwa hata Spacio katoa wapi hela ya kununulia-Tanzania ina mambo kwelikweli,kuna jamaa alihamishiwa mkoan akaenda na V8 binafsi ofisin staff mwenzake akamtonya jamaa asije nayo tena mkurugenzi hana hvyo lazima problem zitaanza na kiukweli nasikia jamaa hajawahi enda nayo ofisin tena 🤣 🤣 🤣 .Kama ni raia wa kawaida Nunua tu mzee-Kikubwa uwe na money.Wapo wengi sana.
Ila ninachomaanisha. Kama hawakuelewi, lazima ulete uthibitisho.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Mtu anaitwa mnyonge anachekelea.
Anaona ni sifa yake halali.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Acha tu mkuu.Hili jambo si bongo tu mkuu,kuna gari ukitembelea huko mbele hadi wazungu wenyewe wanaishangaa barabarani au kwenye parking lots sababu ni way too expensive.