Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Unakuwa mtumwa wa mali yako?

Kama nimenunua hilo gari kihalali huyo mkurugenzi ataisoma namba.
 
Daah dude lina specs za maana.

Mimi naitamani GT-R hata ya 2008 ni poa tu.
 
Mtoto wa Upanga

K: Na wewe je...!!!!

R: Mimi naitwa dabo R ....! aka mtoto wa mama Nanayakara bin Bataringaya 😜

K: 😂😂😂😂 tuma salamu

R: Natuma salamu kwa Taibali na Colin na Kamcho na Amina kiuno 😅

K: 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽 Ila sijasahau nakudai mabungo yangu ....

R: 🏃🏽‍♂️🏃🏽‍♂️🏃🏽‍♂️🏃🏽‍♂️🏃🏽‍♂️🏃🏽‍♂️

K: Nakufata hukohuko 🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️ See you @Kilimarathon2021😋
 
Duh nakimbia 21k nina wiki tatu za kurudi kwenye form
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…