Hii itakuwa Volkswagen Beetle ya Burigi Chato [emoji1787] [emoji1787] ,hii gari kwa kuchemsha asikwambie mtu ila ndo hvyo mambo ya Beetle za you tube [emoji16][emoji16]
haya Madude kweli yanakimbia, kuna mdau humu alisema anatoka Mwanza hadi Dar masaa 12, naweza kidogo nikaamini maana nimeona speed mpaka 299 Km/h bado mtu anapitwa kama kasimama.
kwa vile barabara zetu si nzuri sana ina maana kilomita 1200 ni masaa ma4 basi Bukoba Dar masaa 12 yawezekana
View attachment 1692181
View attachment 1692182
Shida inakuja huwezi kujua nguvu ya mpinzani kwa mere looking. Mpaka umchokoze na akianza kumwaga mwendo ndo utajua kuwa humjuiUsianzishe ugomvi bila kujua nguvu ya mpinzani
Usianzishe ugomvi bila kujua nguvu ya mpinzani
Mimi huwa mtu akinifanyia fujo kwenye road trip namwacha apite halafu naanza kufukuza mwizi kimya kimya.Shida inakuja huwezi kujua nguvu ya mpinzani kwa mere looking. Mpaka umchokoze na akianza kumwaga mwendo ndo utajua kuwa humjui
Usianzishe ugomvi bila kujua nguvu ya mpinzani
Beetle hata kwa IST haitoboi mkuu labda za huko Arusha [emoji1787] [emoji1787]
Hii mbona kawaida...hapa hapa bongo unampa mtu show highway akikukuta mbele umepaki anauliza hii gari ina engine gani?
Nimecheka sana...hicho kigari hata mimi nilikidharau kimbe kina mbavu nene [emoji28][emoji28]Usianzishe ugomvi bila kujua nguvu ya mpinzani
Dah kwa nnavoelewa mimi hio ni moja ya suv ambayo ikikuacha imekuachaLeo majira ya saa 11 jioni nimekutana na chuma moja kali sana lakini nimeshindwa kuifahamu kiundani. Imeandikwa CYANNE TURBO kwa nyuma then namba DV, body yake ni SUV kama VW tourage.
Hebu wataalamu mnaoifahamu hii chuma nipeni ABC's zake
Sema naangalia kweli uwezekano wa first gen boxster facelifted naona bei haitishi saana
Ila nahofia kama itanisumbua spare
Na practicality
Sema kama vyuma vikilegea niko interested sanaa niwe nalo
Nalitoa weekend moja moja god bless[emoji7][emoji7][emoji7][emoji41]
Hivi bongo 911 zipo??
Maana ukiwa nayo ile sijui nini bongo kinakutisha
Labda ma aristo
Hakuna cha Aristo pale.Sema naangalia kweli uwezekano wa first gen boxster facelifted naona bei haitishi saana
Ila nahofia kama itanisumbua spare
Na practicality
Sema kama vyuma vikilegea niko interested sanaa niwe nalo
Nalitoa weekend moja moja god bless[emoji7][emoji7][emoji7][emoji41]
Hivi bongo 911 zipo??
Maana ukiwa nayo ile sijui nini bongo kinakutisha
Labda ma aristo
Aristo/mark 2/Supra zote hizo zina engine ya 2jz-gteHakuna cha Aristo pale.
Labda bugatti kwenda mbele.
Hizo zinefanyiwa mods. Ila ile stock vs stock ya 911 turbo sidhani kama hio 2jzgte itatoboa. Ukifanya mods hata Vitz inaweza kuwa quick than Mark X ila stock vs stock pound for pound ni mbingu na ardhi.Aristo/mark 2/Supra zote hizo zina engine ya 2jz-gte
Ingia youtube uone supra 911 turbos S zinavyoachwa na hizo 2jz-gte kama zimesimama vile.