Lakini uliendelea, Kilimanjaro usipande Namba D. Zote ni High Class mwendo wa Wakubwa VIP. Utaipenda!!!Gari hata iwe VVVVVVIP kiasi gani.
Kama haikimbii imenikosa.
Kuna wakati nilipanda kilimanjaro ya mwisho. Nilitamani kushuka msata.
Mjini kukimbia polisi ni kama unakalia bomu.Jana majira ya saa 2 usiku natoka kijichi (mgeni nani) kuelekea bagamoyo kijiji kimoja kinaitwa bom ambapo kuna mtambo wa dawasco hapo. Nilikua na mitsubish pick up ( double cabin) L200 ya mwaka 95 engine 2400, alafu left hand.
Basi bhaana kufika mtongani hapo nakutana na foleni ya kizushi tu alafu malory na daladala tupu, nikafanya vifujo fujo vya kujichomeka huku na kule hatimae nikapasua foleni maana ilitakiwa saa 7 au 8 niwe nisharudi kijichi.
Sasa nimetembea kufika maeneo ya tabata pale kwenye traffick lights, kutokana na haraka nikajikuta navuka kwenye red light, hapo kulikua na IST mbele ilivuka namm nikaunga, kumbe bhana mbele kuna yange yange. Ile kuvuka tu IST akapigwa mkono namm nikapigwa mkono.
Jamaa wa ist sijui akamalizana nae vipi, sasa akaja kwangu... Kijana naomba leseni, (hapo nikakumbuka hata leseni sikuchukua kutokana na haraka) nikaanza kumpiga sound pale jamaa haelewi kakomalia leseni namimi nina haraka zangu. Basi akatoka kidogo akaenda kupiga mkono gari zingine huko, hapo ndo alipofanya kosa [emoji23].
Pembeni kulikua na bodaboda wamepack nikamwiita mmoja nikamwambia vp huyu traffic hapa ana gari au pikipiki? Akasema huyu hana usafiri. Nikamwambia mi nataka nikimbie hapa vp njia hii haina folen mbele huko? Boda anasema ukikimbia huyu askari huwa anakodi boda anakufukuza.
Nikamwambia haina noma ni naishia hapo ubungo tu, ( sikutaka kumwambia ninapoelekea maana asije nichomesha). Basi nika cheki kwa side mirror naona jamaa yuko bize anaongea na gari ya nyuma huko.
Kimoyomoyo nikasema BINGO, manina nikaifumua chuma pale nikaingia rod yaani nilikua kama niko kwenye mashindano vile nilikua napangua gia huku nafanya overtaking za hatari. Kufika pale fly over ya ubungo nilifuta kisahani hadi 180km/hr.
Chuma inanguruma yaan sikutaka hata kujisumbua na side mirro kumcheki kama jamaa anakuja au vipi, mwishoe nikafika mwenge nikakunja bagamoyo rd nikanyoosha goti.
FUNZO : Maedereva tusikubali kuonewa ki bwegebwege, ukiona chuma iko vzuri ingia road timua. Kama anataka ligi akufate. [emoji23]
Ilikuwa ile Andare namba AJR bila kukosea.Lakini uliendelea, Kilimanjaro usipande Namba D. Zote ni High Class mwendo wa Wakubwa VIP. Utaipenda!!!
Ooh!! Okay.Ilikuwa ile Andare namba AJR bila kukosea.
VIP ni one by one au two by one ?Amini huyu jamaa ni Shidaah. Anazingatia sana amezidi sana basi 60km/h.
Tulifika kwa kuchelewa lakini salama sana na hatujachoka sababu ya VIP.
Hapa S haihusiki na manual shift. S ni sporty option ya D. Manual inakuwa tofauti na D na S. Yenyewe iko pembeni kama +/-Ahaa mie naionaga tu hio S sema kwenye gearbox za tiptronic!
Nadhani ni kwa ajili ya simulated manual shifting sababu kuna + na - juu na chini ya herufi S! Unaweza panga gia ya kwanza mpaka ya 5 ila ukitaka auto shifting unarudisha D
Kuepuka hayo yote ukisimamishwa simama tu. 30,000/- sio nyingi Kama hio ya kuuza kiwanja, na dakika utakazopoteza hapo ni chache kuliko dakika utakazopoteza kwenye foleni Mbezi mwisho au boko/bunju.Mjini kukimbia polisi ni kama unakalia bomu.
Huchelewi kukuta foleni hatua 500 mbele. Akikuchukulia bodaboda anaweza kukulaza ndani.
Anaweza kukubambikia kesi ulikuwa na madawa.
Hawa watu wakimbie highway huko, akiwaza kukuchukulia boda anaona hasara tupu.
Nikipata muda ntakupa kisa cha mtu amekimbizwa na gari ya polisi toka msata mpaka mbezi mwisho na akakamatwa. Usiulize pesa aliotoa kuweka mambo sawa. Hawa jamaa wakikuamulia unaweza uza kiwanja ukafuta kesi huko.
Ndio maana ukiona mtu wa mbele ana viashiria vya kuovertake inampigia honi kabla ya kumkata. Wengi sana ndio wanashtuka na kurudi kushoto.barabarani kuna changamoto sana.... siku natoka Dar to Arusha, nikiwa baada ya kutoka msata nafikiri mbele kulikuwa na gari ya mzigo na nyuma yake kluger then Mimi, sasa nikaona sehemu imenyooka safi na inaruhusu kuovertake nikatoa chuma, naanza kuimalizia kluger nikasikia kishindo upande wa kushoto kumbe jamaa wa kluger nae kaanza kuovertake hata bila kuangalia sijui alikuwa anawaza nini... nikacheza na chuma vizuri nikaenda kusimama mbele baada la kulipita na roli, jamaa nae sijaja akasimama anatetemeka balaa, kukagua gari pale alikuwa ameipiga kidogo mlango wa nyuma... ila nikamsihi tu awe makini .... kama upo humu utakuwa unakumbuka ni mwaka Jana mwezi 8/9 hivi...
Hii sijawahi kutana nayo hii, sasa hio S ni ya nini hapo chini?Hapa S haihusiki na manual shift. S ni sporty option ya D. Manual inakuwa tofauti na D na S. Yenyewe iko pembeni kama +/-
View attachment 1699701
Polisi labda uone hawana alternative ya usafiri sio wamepaki Cruiser lao we unajifanya kuwakimbia 😂😂😂 wakikuungia ni msala!Mjini kukimbia polisi ni kama unakalia bomu.
Huchelewi kukuta foleni hatua 500 mbele. Akikuchukulia bodaboda anaweza kukulaza ndani.
Anaweza kukubambikia kesi ulikuwa na madawa.
Hawa watu wakimbie highway huko, akiwaza kukuchukulia boda anaona hasara tupu.
Nikipata muda ntakupa kisa cha mtu amekimbizwa na gari ya polisi toka msata mpaka mbezi mwisho na akakamatwa. Usiulize pesa aliotoa kuweka mambo sawa. Hawa jamaa wakikuamulia unaweza uza kiwanja ukafuta kesi huko.
Nahisi itakuwa inahold gears za chini kwa mda mrefu ila itakupiga ngwese zaidi 😃😃😃S ni sporty, ukiweka hio gear response inabadilika yaani ni D iliochangamka.
Mjini pa kipumbavu, mataa kila mahali na foleni 😂😂😂!!! Ukikimbia umejimaliza 😁😁😁 bora uwape ya kubrashia viatu tu au uwakwepe! Mfano wako mita 10 mbele wewe ukatishie uchochoro wa pembeni au ugeuze gari urudi ulipotoka.Mjini kukimbia polisi ni kama unakalia bomu.
Huchelewi kukuta foleni hatua 500 mbele. Akikuchukulia bodaboda anaweza kukulaza ndani.
Anaweza kukubambikia kesi ulikuwa na madawa.
Hawa watu wakimbie highway huko, akiwaza kukuchukulia boda anaona hasara tupu.
Nikipata muda ntakupa kisa cha mtu amekimbizwa na gari ya polisi toka msata mpaka mbezi mwisho na akakamatwa. Usiulize pesa aliotoa kuweka mambo sawa. Hawa jamaa wakikuamulia unaweza uza kiwanja ukafuta kesi huko.
Boda boda anakuungia mpaka getini kwako kudadeki! Sema pia ukiwa na speed unamkata mapema tu 😂😂😂Yale ma Cruiser mabovu hawanipati bodaboda ndio huwezi kuikimbia. Nitasimama sio kwa kuogopa gari zao.
Huenda labda but navyoelewa ili gari iwe na speed you need more torque whichi is likely found in low gears.Hapana inaokoa muda between gear changes up or downshift, hivyo inakupa quick acceleration.
Barabara ya Highway atakupataje sasa? Labda awe na zile BMW za kipolisi 😁😁😁! SANLG hata mie namkazia mguu tu! Nikikunja kona moja tu inabaki story!Speed utaipatia wapi na foleni zetu kila mahali? Open road hakupati kwasababu bodaboda zenye ni sanlag na wenzie.
Yeah hio unaipata hata kwenye D. Sema S ndio inaongeza ufanisi btn gear changes. Yaani kama D inatumia 0.5sec kubadili gear S inatumia 0.1s kubadili gear(kutoka gear moja kuingia ingine)Huenda labda but navyoelewa ili gari iwe na speed you need more torque whichi is likely found in low gears.
Thus why ukiwa gentle on pedal gari inabadili gears faster ila ukiwa na pupa gari ina hold gears zaidi sababu inapika more torque ili ikimbie zaidi.