Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
DVA imepasi test zote za mjini, imefungiwa kabatini itatolewa siku ya trip tu
Akikujibu niite.
[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]Sijui tutakubaliwa na hivi amesema anataka pisi kali?
Yeah road trip utalii kama wote! Acha tupambane tufikie level zenu mkuu maana watu kama ninyi mnatuinspire sana ambao tunapenda kusafiri ila tuko na hela za mawazo!Kusafiri Raha sana...ukitaka kuona mandhari road trip ndio yenyewe
Bonge la tripRoad trip:
Dar-Moro-dom-kondoa-babati-arusha-moshi
Safar inaanza tarehe 23 mpaka dom namsalimia JPM pale halafu nalala kondoa nakula xmass kondoa tarehe 26 mapema naanza safar babati pale kuna samak watam sana wa ziwa babati halaf nanyoosha arusha mpaka kwa mromboo napiga mbuz then naamsha mpaka changbay moshi mjin nakula kuku wa kutosha pale napitia duka la jumla la vinywaji vikali pale moshi mjin kunaitwa kwa MASUKI hapa ntachukua CARTON ya KONYAGI KUBWA baada ya hapo moja kwa moja URU KISHIMUNDU...eeh MUNGU nitangulie
Hamna level yeyote ubishi tuYeah road trip utalii kama wote! Acha tupambane tufikie level zenu mkuu maana watu kama ninyi mnatuinspire sana ambao tunapenda kusafiri ila tuko na hela za mawazo!
Cc Relief Mirzska
Mkuu hilo chuma DVA sio crown kweli?Bonge la trip
Dah, still you wont make it bruh, matuta ni mengi kinyama.50kph zone naenda 50kph....ikiisha najiachia anyway aim yangu kubwa niachane na mji asubuhi kabla watu hawajaamka
Poa,hata nikifika saa nane it's okay. Muhimu ni kuepuka foleni Dar-Bagamoyo. Saa 10 jioni unaweza kufika Bagamoyo saa mbili usiku ilinitokea mwaka huu huu.Dah, still you wont make it bruh, matuta ni mengi kinyama. If you have great eyes nashauri chomoka saa 10 jioni mdo mdo saa 4 uwe Moshi. Kwa kiza kiza unaeza fungua chuma ukafidia matuta.
Ila matuta + vibao = 8hrs
Bongo kungekuwa na njia soft namna hii bila ufala wa matuta safari zingekuwa fupi sana
Kuna Crown niliona Lumumba juzi vijana wanaset bulb ya pembeni ya indicator ilikuwa imeungua. Jamaa mmoja smart sana ndio mmiliki nikafikiri huenda ni wewe
Ombi lenu limekubaliwa
Hahah hapo kiutu uzima 😂😂😂✔️Ha ha ha ndio maana nimesema DVA bila kutaja model dunia ndogo hii
Mafinga hiyo, msitu wa Sao HillMwisho wa mwaka huu ndio ushafika. Wengine huwa tunapambana mwaka mzima siku za mwisho kama hizi ndio tunapumzika. Wale wa road trips ndio wakati wetu huu kupiga masafa mafupi,marefu na ya Kati. Mwaka huu napiga mikoa ya kaskazini Tanga,Kili na Arusha. Je mwenzangu road trips zako wapi?
Raha ya road trip inabidi uwe na
1. Kampani nzuri (pisi Kali itapendeza)
2. Gari yenye uwezo (nimetoa kitu DVA ndio trip yake ya Kwanza hii)
3. Mfuko uwe na afya kidogo
All in all drive safe and take care
mng'ato
Boeing 747
View attachment 1652044
Masikini mwenye wivu utamjua tuWe ni muhaya?