Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hasa barabara ya kaskazini imeharibika sana, wazee wa kupenda kutembea usiku inauniza sana.
Oh mashimo yameongezeka? Na usiku kuona mbali ni issue. Mara ya mwisho nilisafiri jioni nikapata msala saa 12 ndio ilikuwa pona yangu vinginevyo ningelala barabarani hadi asubuhi. Sisafiri tena usiku.
 
DVA ziko 900 sasa hivi could be anything from VX to Passo
Ohooo
Haya bwana mkubwa ..tukapigapo na ka honi kumbe sio ww😂😂😂

Ila kama ingekua ni ww ningekua nshakufahamu fika maana jamaa alikua na pisi kali anaongea nayo mwendo wa taratiibu ....anachelewesha watu wa nyuma kila mtu alikua akiovateki anamuangalia kwanza na alikua ameshusha kioo
 
Oh mashimo yameongezeka? Na usiku kuona mbali ni issue. Mara ya mwisho nilisafiri jioni nikapata msala saa 12 ndio ilikuwa pona yangu vinginevyo ningelala barabarani hadi asubuhi. Sisafiri tena usiku.
Mashimo ni mengi, juzi niliondoka dar 12 jioni nimeingia Arusha 03.00, barabara mbovu sana.
Kuna matuta hayana alama ya zebra, kuna sehemu za barabara lami imechubuka...yaani ni hatari hasa ukiwa na gari ya chini.
Mara kadhaa nilijibamiza kwenye matuta yasiyo na alama au mashimo...kilichonisaidia gari imeinuka.
Ni hatari kutembea usiku kuja kaskazini
 
Road trip ya tarehe 24.12 uelekeo Dar-Segera-Korogwe-Himo utaipenda.
Msitunyime kapicha hata ka Tecno msafara wenu hiyo tarehe
Kuna Msukuma Kadogosa kasema atatuma Treni kila siku tarehe hizo ibebe zaidi ya abiria 2000 na baada ya mwaka mpya vivyo hivyo
najua bado tutawaona barabarani Chalinze Segera Himo
 
Mwisho wa mwaka huu ndio ushafika. Wengine huwa tunapambana mwaka mzima siku za mwisho kama hizi ndio tunapumzika. Wale wa road trips ndio wakati wetu huu kupiga masafa mafupi,marefu na ya Kati. Mwaka huu napiga mikoa ya kaskazini Tanga,Kili na Arusha. Je mwenzangu road trips zako wapi?

Raha ya road trip inabidi uwe na
1. Kampani nzuri (pisi Kali itapendeza)
2. Gari yenye uwezo (nimetoa kitu DVA ndio trip yake ya Kwanza hii)
3. Mfuko uwe na afya kidogo

All in all drive safe and take care
mng'ato
Boeing 747
View attachment 1652044
Road Trip tarehe 28 - Dec.. Trip Moro -Iringa- Njomb-Mbeya.. mkeka fulani umesimama saana.. kila mji naweka kambi .. drive safely mkuu..
 
Traffic nchi nzima wanasimamia sana overtaking mahali ambapo mstari hauruhusu, hata kama ni salama.

Wapiga picha wanakaa haswa kwenye milima, wanajua malori yatakuwa slow nawe utataka kuyapita kwenye mstari ulionyooka. Ukifanya hivyo utakuta picha na cheti chako mbele.
 
Back
Top Bottom