Wazee wa β€˜Road Trip’ mpo?

Tip zao ile hela wanayopiga! Nitaanza kutoa tip

Yeah hata mia 5 kwao ni nauli tosha.

Ila mie sitatoa, si unajua hela ya mwanamke ilivyo chungu kutoka 😜😜

Ila huwa nawapigisha story ile ya kumtoa mawazo kama yuko kazini, asiwaze amesimama siku nzima labda kapata short au mwenzie anayetakiwa kumpokea shift kachelewa n.k.

Moja ya story naanzaga nazo ni, naweza kuwekewa mafuta ya buku huku nikionesha taswira ya wasiwasi na kushangaa...!

Wengi hucheka kisha nataja idadi ya lita nnazotaka basi maisha yanaenda.

Mmoja wakati anajaza nikamwambia, shoga hivi kama nimesahau pesa kwenye pochi nyumbani nilitoka haraka nanishaniwekea mafuta inakuwaje....

Basi akimaliza kunijibu hapo namwambia asante kwa huduma namtakia shift njema, akirudi nyumbani awakumbatie watu wake wa karibu kwa upendo. Namuacha na tabasamu halafu mie yuleee naendelea na safari yangu 😊.
 
Daraja bado....Twende mlimani
 
Kuna E class zenye hadi 600 hp.

Mfuko wako tu.
600 HP barabarani si hakuna atae kufatia mkuu.. na hawa vijana wenye BMW X1, X3 watakuwa wanaisoma namba na E zilicho chini yake.. pia nimeziona E 63s AMG .. huu ni moto haswa ndio una iyo 600 HP.. ila shekeli ndio mtihani. Kame hela mboba unachukua hata E 450 au yale V12 Biturbo
 
Ha ha ha kwasababu wakati wa kurudi utakuwa ukutani!

Aahahahahahaaa na yatayotokea huko mlimani yatabashiri, waweza kuta ukashika usukani pia saa ya kuteremka ....!!πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

#mbobezi wa kushawishi 😍 aka fani ya Kasinde 😜...... ukijumlisha na kudeka weeeh! πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
 
Hii ni njema, yawafanya wajione nao ni wenye kujaliwa na wenye maisha nje ya kuwa 'pump attendants' [emoji4][emoji4]

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Hata Zenji wenyewe, beach za Jambiani, Nungwi, Paje, Michamvi n.k ni mbali na mji wala si town lakini Hotels zipo na kunahappen. Kama Zenji haswa Nungwi wana monthly events za full moon party na nyingine zifananazo na hizo na watu wanafunga safari kutoka kote duniani kwenda kuhave fun, lwa nini isiwe upande huu wa nchi pia. Yaweza kuwa sera za uwekezaji ni kikwazo, lakini utalii wa fukwe ni kitu ambacho kingetubeba sana. Mauritius, Sychelles na Re-Union nafikiri wanabebwa zaidi na fukwe kiuchumi kuliko vinginevyo, yatupasa kufanya jambo

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Yeah kule visiwani wako serious sana na fukwe zao sijui tu kwanini huku bara fukwe za mijini tu ndiyo zimeendelea zaidi. Uzuri wengine hatuchaguagi fukwe ili mradi kuna bahari au ziwa na hotel au lodge karibu basi fresh tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…