Penye nia pana njia mkuu..Sina gar wala sina road trips nmependa story za humu wakuu one day we will join
Safari njema mkuu.... Enjoychombo imepark kando ya B2, ikisubiria masela wajae safarini kwenda kwa kina 'Njomba Nchumali'View attachment 1763846
Sina gar wala sina road trips nmependa story za humu wakuu one day we will join
Gari gani Hilo Mkuu?chombo imepark kando ya B2, ikisubiria masela wajae safarini kwenda kwa kina 'Njomba Nchumali'View attachment 1763846
Acha tabia ya kubeba vichwa ipo siku utabeba mhamiaji haramu ndo utaisomaa namba hiyo ndinga yako itataifishwa fastaHivi kutoka dar to arusha usiku na kurudi pia usiku. Hua mnapata vichwa/abiria njiani? Kama ndio ni maeneo gani? Check points zipi wanakagua kagua sana usiku kwa njia hiyo kupitia bagamoyo?
Shukrani safari ilikamilika salamaSafari njema mkuu.... Enjoy
Labda wanacheza kombolela...Umeamua uje umtafute kabisa [emoji81][emoji81][emoji81] mcheki piemuni huko!
Grande Mark II, mashine moja hatari sana cylinder 6 (1JZE)Gari gani Hilo Mkuu?
Kwa kutokea Arusha nadhani kuna point humo humo Arusha vichwa vinakuwepo kama sio stand basi maeneo ya mbele toka stand! Kwa Moshi vichwa vipo kwa Mtei pale unapata ila uhakika zaidi ni pale Himo! Egesha chuma ingia bar sikilizia wadau wakuletee vichwa vikitimia unaamsha popo!Acha tabia ya kubeba vichwa ipo siku utabeba mhamiaji haramu ndo utaisomaa namba hiyo ndinga yako itataifishwa fasta
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Mtoto anamzimia mzee wa Road Trip itakuwa kamumisi misi kumuona hata aki Type humu 😹Kwani mnacheza kombolela?
Umenena. Barikiwa.Kwa kutokea Arusha nadhani kuna point humo humo Arusha vichwa vinakuwepo kama sio stand basi maeneo ya mbele toka stand! Kwa Moshi vichwa vipo kwa Mtei pale unapata ila uhakika zaidi ni pale Himo! Egesha chuma ingia bar sikilizia wadau wakuletee vichwa vikitimia unaamsha popo!
chombo imepark kando ya B2, ikisubiria masela wajae safarini kwenda kwa kina 'Njomba Nchumali'View attachment 1763846
Mtoto anamzimia mzee wa Road Trip itakuwa kamumisi misi kumuona hata aki Type humu 😹