Wazee wa β€˜Road Trip’ mpo?

1. Hahah...na imagine eti Kasinde kanuna, siku hiyo lile sanamu la Samora pale litavua kofia

2. Halafu unajua ile chokoleti niliitafuna mwenyewe baada ya kuona kuna mtu anataka hadi Yesu arudi akalie chokoleti yake paradiso

1. Huyo hapo chini Kasinde amenuna laivu bila chenga.....




2. Waalaahh Mungu anakuona..... yaani Kasinde mie nijivunge kuja kuchukua chokoleti....... saawaaaaa.... acha niendelee kununa tuu ....πŸ˜…
 
Kaka samahani kidogo kuna kitu kinanitatiza,najua engine huwa inapitia sehemu nne ili kukamilisha mzunguko mmoja ambapo sehemu hizo ni intake,compression,combustion pamoja na exhaust.

Sasa kuna kitu kimoja ambacho kinanitatiza akili yangu.Kwenye hiyo hatua ya kwanza ya intake piston huwa inashuka chini na valve zinafunguka ili oxygen inyonywe kwa ajili ya hatua ya pili ambayo ni compression.Kinachonitatiza ni kwamba ili kazi fulani ifanyike huwa kunahitajika nguvu/energy/power,sasa nguvu ambayo huwa inatumika kushusha hiyo piston chini ili hewa iweze kuingia kwenye chamber huwa inatoka wapi?Kumbuka kwenye hatua ya intake hata combustion bado kwa hiyo hakuna pressure inayoisukuma piston chini,sasa ni kitu gani huwa kinaisukuma piston kwenda chini ili valve zifunguke hewa iingie?
 
Nguvu ya umeme kutoka kwenye starter motor ambapo huzungusha Engine kwa mara ya kwanza ili iwake...

Nguvu ya mwendokasi kutoka kwenye mfumo wa upeleshi (propelling system) hadi kwenye gear box na kuifikia crankshaft kupitia mfumo wa clutch, kama gari inasukumwa...

Piston ya kwanza ikishapata power, kwakuwa kuna mpishano maalumu kwenye hizo piston, piston itakayofuata kwa mujibu wa firing order itapata power na kuzungusha crankshaft na hatimaye kupata mzunguko kamili.

RRONDO atakuja kukujibu kitaalam zaidi maana nimetumia uzoefu wa 'shule ya zamani'
 
kipande kingine piga Nzega pale hadi Tabora mjini, barabara haina tuta.. na haina magari mengi, unafunguka tuu
Nimekubali mkuu. Tuta 2 tu karibu ya Nzega mjini, hakuna shimo wala hatari yoyote.

Hapa mshale umelala hauna tena pa kwenda, ishagonga limiter at 180kmph ila barabara bado inaita, nipo kama halfway kati ya Tabora na Nzega.

Sometime namlaani mjapani ila sometime namshukuru kwa kutulimit, its bittersweet

Your browser is not able to display this video.
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ hicho kipande kitamu sana
 
Nice view.

120 KPH ya kwenye rough road ni nowma!! Ni sawa na 150KPH kwenye lami kimuonekano wa ukimbiaji.

-Kaveli-
Ina adrenaline kama rally, vumbi ninaloacha huko nyuma si mchezo!

Its exciting unafeel kabisa one misstep unaingia porini. Rear end ikisweep huku haushiki brake kugain control bali unacheza na power na steering tu. Brakes will kill you.

It was interestingn nisharudi kwenye lami.
 
Umemaliza mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…