Hii noma! BMW hioUnadhani huyu alikuwa anaenda speed ngapi?View attachment 1775511
Huyo dreva kasalimika kweli? Speed yawezekana aliku 150 kph.Unadhani huyu alikuwa anaenda speed ngapi?View attachment 1775511
Ila watu wana moyo sana....kusafiri na Passo!
Gari la kiboya ndo gari gani Mkuu?, nilikutanaga na ist road alinipita Hale tanga mi nikiwa na Subaru Forester jamaa alikaza Sana nilikuja kumpita mombo nikiwa 140 kph, Hawa jamaa wa ist , ukikutana na dereva mzuri anakuzalilisha hata Kama una gari la cc 3000 utazalilika tuu.Jamaa anawapa vichwa wenye passo, yani huku road kama una gari ya kiboya utadhaurika sana aseee[emoji23][emoji23]
Sometimes it depends who is behind the wheel...Gari la kiboya ndo gari gani Mkuu?, nilikutanaga na ist road alinipita Hale tanga mi nikiwa na Subaru Forester jamaa alikaza Sana nilikuja kumpita mombo nikiwa 140 kph, Hawa jamaa wa ist , ukikutana na dereva mzuri anakuzalilisha hata Kama una gari la cc 3000 utazalilika tuu.
Kama ulikuwa unaenda 100kph na yeye anaenda 120kph lazima akupite. Lakini Una cc3000 ukiamua hata dereva gani hakupiti na IST.Gari la kiboya ndo gari gani Mkuu?, nilikutanaga na ist road alinipita Hale tanga mi nikiwa na Subaru Forester jamaa alikaza Sana nilikuja kumpita mombo nikiwa 140 kph, Hawa jamaa wa ist , ukikutana na dereva mzuri anakuzalilisha hata Kama una gari la cc 3000 utazalilika tuu.
Passo hizi hizi? Huyo wa Crown hajaamua tu. Ndio wale unaendesha zako taratibu anapita anaenda kusimulia leo nimeikata Crown kama imesimama!Sometimes it depends who is behind the wheel...
Hivyo usishangae hata Passo ya piston 3 ikiipita Crown..
Hukuamua tu nawe!!!Gari la kiboya ndo gari gani Mkuu?, nilikutanaga na ist road alinipita Hale tanga mi nikiwa na Subaru Forester jamaa alikaza Sana nilikuja kumpita mombo nikiwa 140 kph, Hawa jamaa wa ist , ukikutana na dereva mzuri anakuzalilisha hata Kama una gari la cc 3000 utazalilika tuu.
SaratogaNajimunisa hiyo??
hawa vichaa ukiwa na gari ndogo wanakuletea tuuh wanajua utawapishaKwahio huyu mwamba anaovateki bila kujali nani anakuja?
Gari la kiboya ndo gari gani Mkuu?, nilikutanaga na ist road alinipita Hale tanga mi nikiwa na Subaru Forester jamaa alikaza Sana nilikuja kumpita mombo nikiwa 140 kph, Hawa jamaa wa ist , ukikutana na dereva mzuri anakuzalilisha hata Kama una gari la cc 3000 utazalilika tuu.
Hakuna aliepona kwenye hiyo ajali.Huyo dreva kasalimika kweli? Speed yawezekana aliku 150 kph.
Mandhari yamekaa kama milima ya Iringa, either kitonga au ile ya kuitafuta mteraHapana.
Ni changamoto kubwa sana hawa jamaa na STKKwahio huyu mwamba anaovateki bila kujali nani anakuja?
OMG.Unadhani huyu alikuwa anaenda speed ngapi?View attachment 1775511
Gari la kiboya ndo gari gani Mkuu?, nilikutanaga na ist road alinipita Hale tanga mi nikiwa na Subaru Forester jamaa alikaza Sana nilikuja kumpita mombo nikiwa 140 kph, Hawa jamaa wa ist , ukikutana na dereva mzuri anakuzalilisha hata Kama una gari la cc 3000 utazalilika tuu.