Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,443
- 8,903
Ila once in a while haina madhara sana.
Madhara yake ni yepi hasa? Ili na wengine wajifunze wasifanye uharibifu husika.
-Kaveli-
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila once in a while haina madhara sana.
Ndio maana, kuna mtu alikuwa anataka gari nikampa namba yako sijui hajajibiwa hadi leo, ile namba unayo itumia kwenye matangazo yakonimejifunza
nimeibiwa simu mbili last week nimepungua 5kgs
niliibiwa simu bestNdio maana, kuna mtu alikuwa anataka gari nikampa namba yako sijui hajajibiwa hadi leo, ile namba unayo itumia kwenye matangazo yako
AhahahaaaMkuu gari ya chini rough road/off road mbona iko wazi. Bush,ball joints,rack ends,tie rod ends etc zinakufa haraka sana
Hapo ilikuwa natoka nyanda za juu kusini magharibi naelekea magharibi.Unaelekea kaskazini ama magharibi mkuu?
Kweli kabisa. Ishawahi tokea kwenye barabara ya vumbi, rear end iligeuka aisee. Bahati nzuri tulikuwa na dereva mzoefu, ambaye alifanya hivyo ulivyosema. Kilikuwa kitendo cha kama dakika 1 hivi. Tukatoka salama.Ina adrenaline kama rally, vumbi ninaloacha huko nyuma si mchezo!
Its exciting unafeel kabisa one misstep unaingia porini. Rear end ikisweep huku haushiki brake kugain control bali unacheza na power na steering tu. Brakes will kill you.
It was interestingn nisharudi kwenye lami.
Hapo kwenye kuendesha usafiri private sipendagi mafuta akanyage mwingne na mie nimo ndan, lazima nishuke tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha mimi nikisafiri napendelea kutumia usafiri wa public sipendelei sana usafiri private! Cause huwa napenda nikisafiri nisipige story na mtu nikae tu peke yangu nasikiliza miziki kitu ambacho kwenye usafiri private hauwezi utaonekana miyeyusho na kama ni private basi niwe peke yangu niendeshe mwenyewe!
Ulikuwa na haraka mkuu? picha haziko clear sana
Wee gari yenyewe ilikua nduki mnooh, [emoji23][emoji23][emoji23]Ulikuwa na haraka mkuu? picha haziko clear sana
moto mbele kitu cha 140km/hWee gari yenyewe ilikua nduki mnooh, [emoji23][emoji23][emoji23]
Iyovi?
Hapana.Iyovi?
Kabisaaaaahmoto mbele kitu cha 140km/h
[emoji4][emoji4] [emoji120][emoji120]