155 KM/HMhandisi alinyoosha mstari
View attachment 1775773
Alinipita nikiwa 110 kph. Nilikuja kumpita mombo nikiwa ,140 kph.Sijaelewa nahisi hapa, 140 ni speed kubwa sana? Mwendo wako wa kawaida huwa ni upi ambao ndio huwa unazalilishwa na hizo IST
Alikuona tena baada ya hapo?Alinipita nikiwa 110 kph. Nilikuja kumpita mombo nikiwa ,140 kph.
Hiyo RRONDO anaiita mdogo mdogo155 KM/H
Alinipita wilayani Mwanga nilipumzika Kama nusu saa hivi ndo alinipita hapo, ila barabara ya dar to Arusha Ina ligi Sana, pale Mwanga nilifukuzana na crown athletic na Ford escape ilikua hatari Sana.crown athletic ni gari matata Sana ile.Alikuona tena baada ya hapo?
Unamwonyesha who is boss kisha unamtakia safari njemaNilikuwa na tabia ya kufunga mkia kwenye high speed cars na Toyota Avensis Salon, toleo kwa ajili ya nchi za Ulaya, kisahani ni 260 Kph + 10
Muhimu ni kufunga tairi zenye kuhimili speed hiyo, (Maaomo ya tyre speed code yapo mengi humu Jf)
Kawaida natembea 100kph, nikipitwa na gari kwa dharau, nami naunga tela, silipiti ila nahakikisha nipo nyuma yake hata afike 180kph.
Akizidisha 180kph ndipo huanza kumtafutia timing ya kumpita shaaa akiwa juu ya 200kph kisha mbele kidogo napunguza mwendo naacha apite halafu narudi na 100kph yangu.
Ligi zingine hata hazifai, hatari sana, nimekuwa mtu mzima sasa, da!
Wanaosema wakiendesha passo wanailaza crown chini wanaichukulia poa sanaAlinipita wilayani Mwanga nilipumzika Kama nusu saa hivi ndo alinipita hapo, ila barabara ya dar to Arusha Ina ligi Sana, pale Mwanga nilifukuzana na crown athletic na Ford escape ilikua hatari Sana.crown athletic ni gari matata Sana ile.
Duuuuuh [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Unadhani huyu alikuwa anaenda speed ngapi?View attachment 1775511
I'm back Kasie . And stronger than ever!
View attachment 1774011
50KPHZone
Barabara ina shawishi kwa weupe wake ila mguu ukiwa mzito tuu wapo mbele wanakusubiri
Kuna ndugu yangu m'moja alinibembeleza sana tusafiri pamoja kwa passo nikamwambia acha masihara basi.Ila watu wana moyo sana....kusafiri na Passo!
Huyo kama sio 160, sijuiUnadhani huyu alikuwa anaenda speed ngapi?View attachment 1775511
Aaaah ha ha ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], passo na crown jembe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sometimes it depends who is behind the wheel...
Hivyo usishangae hata Passo ya piston 3 ikiipita Crown..
Mkeka huo....rpm iko 3000Mhandisi alinyoosha mstari
View attachment 1775773
Hawa watu wanalinganisha gari ambayo ndani ya dakika moja iko 180kph(limited) na gari ambayo kwenye maisha yake yote inaweza isizidi 150kph kwenye hizi barabara zetu.Wanaosema wakiendesha passo wanailaza crown chini wanaichukulia poa sana
Shida sasa gari anayotaka tutumie ni passo eti itatusave gharama ya mafuta. Nikamwambia kuwa serious basi...Safari ndefu sana hio lazima atafute kampani
Engine haiteseki kabisa...Mkeka huo....rpm iko 3000