Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Nilikuwa na tabia ya kufunga mkia kwenye high speed cars na Toyota Avensis Salon, toleo kwa ajili ya nchi za Ulaya, kisahani ni 260 Kph + 10

Muhimu ni kufunga tairi zenye kuhimili speed hiyo, (Maaomo ya tyre speed code yapo mengi humu Jf)

Kawaida natembea 100kph, nikipitwa na gari kwa dharau, nami naunga tela, silipiti ila nahakikisha nipo nyuma yake hata afike 180kph.

Akizidisha 180kph ndipo huanza kumtafutia timing ya kumpita shaaa akiwa juu ya 200kph kisha mbele kidogo napunguza mwendo naacha apite halafu narudi na 100kph yangu.

Ligi zingine hata hazifai, hatari sana, nimekuwa mtu mzima sasa, da!
Unamwonyesha who is boss kisha unamtakia safari njema
 
Alinipita wilayani Mwanga nilipumzika Kama nusu saa hivi ndo alinipita hapo, ila barabara ya dar to Arusha Ina ligi Sana, pale Mwanga nilifukuzana na crown athletic na Ford escape ilikua hatari Sana.crown athletic ni gari matata Sana ile.
Wanaosema wakiendesha passo wanailaza crown chini wanaichukulia poa sana
 
I'm back Kasie . And stronger than ever!

Mabungo 3
Sanvita 2, moja orange nyingine blackcurrent.
Ya orange iwe imeganda, ya blackcurrent iwe imeyeyuka.
Usisahau pilipili ya mabungo.

Kuna mtu kanizuia nisikupe busu la ukaribisho kutoka mafichoni. Ila sababu mie ni mbishi, nalitoa tuu.....

Mmuuuahhh...!!!

(Ukajibu maswali ya Bataringaya, kila mara alikuwa anauliza ...”papi Baba Bataringaya...!!?”).
 
View attachment 1774011
50KPHZone
Barabara ina shawishi kwa weupe wake ila mguu ukiwa mzito tuu wapo mbele wanakusubiri

Romantic Picture 🥰🥰

Hayo matone ya mvua, akili imepeleka taswira sehemu 2....

1. Goose pimples baada ya kuguswa maeneo na bae.....😜

2. The duts.... yenye vidutu sijui vidoti...
Ile zinakaaga 3 kwenye pakti moja....😅

The car cleanness imeongeza u romantic...., I bet inanukia strawberry au lemon 🔥🔥
 
Back
Top Bottom