Hilo lilikuwa Prado Massawe bila shakaHatari sana...
Nishawahi kata ball joint tairi ya mbele, tairi ikang'ang'ania uelekeo mmoja, disk ikadondokea juu ya rim na ikaikata, baada ya rim kutoboka upepo ukapotea wote ghafla kwenye tairi...
Haya matukio yote yalitokea sekunde 10 nyingi, bahati yangu ilikuwa ni mchana na barabara ya rough na mwendo haukuwa mkubwa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mark II jombaa, kuja kuchunguza vizuri tatizo lilianzia kwenye bush, ilikata kiasi kwamba stress ikakimbilia kwenye ball joint na ikaikata...Hilo lilikuwa Prado Massawe bila shaka
Eeh mkuu ni noma yani!! Mi nilishabadili bush lakini na ball joint zangu nataka nikaweke link mpya nazoMark II jombaa, kuja kuchunguza vizuri tatizo lilianzia kwenye bush, ilikata kiasi kwamba stress ikakimbilia kwenye ball joint na ikaikata...
Huwa nasikia hizo Prado ndio ugonjwa wake huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Muhimu kufanya check up na service utakuwa salama.Aiseeeh....!! Pole sana.
Umenifikirishaaa.... nimewaza hilo tukio lingenikuta mie halafu niko kwenye safari zangu..... nakuwaga pekeyangu...... aahahahahahaaaa (najikaza tuu kutokulia 🤣🤣🤣)
Namshukuru Mungu sijawahi kutana na changamoto ya namna hiyo barabarani japo bebiwoka nnayoendesha ni kuu kuu haswa.
Napenda sana magari, napenda sana safari za kwenda naendesha gari ila ......
Makorokocho ya gari siyataki, yakinikuta matukio barabarani napambana nayo mwenyewe mwanzo mwisho.
Nadeka kwenye mapenzi ila sio majukumu yangu 😜😜
K’ Matata.
Mark II jombaa, kuja kuchunguza vizuri tatizo lilianzia kwenye bush, ilikata kiasi kwamba stress ikakimbilia kwenye ball joint na ikaikata...
Huwa nasikia hizo Prado ndio ugonjwa wake huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni limited vision. Watu wanasema taa nzuri ila trust me ukipishana na gari kuna few seconds unakuwa blind hapo kama kuna kichanja mbele unajificha mvua.Usiku usiwe na uchovu tu, mimi napenda sana.
Nikichoka nalala.
Mimi hii trip ya juzi nilipasua tairi ya nyuma kulia kilomita chache baada ya mzani wa dumila.Asante Mungu ni mwema sikupata shida, nikabadilishiwa ball joint, weka spare tyre na baada ya masaa kadhaa safari ikaendelea...
Kuna wakati pia maeneo ya Iringa, nilikuwa nafanya ligi na jamaa mmoja hivi usiku yule mtu anatembea kama anawahisha gazeti...
Nipo kwenye kimteremko fulani kikali, gari imewaka na mshale wa speed hauna mahali zaidi pa kwenda...nikasikia kishindo puuuuu, tairi ya nyuma imeivaa na ishaita inarusha rusha mapande tu...
Kilichobaki hapo ni kubalance gari itulie na ikasimame yenyewe bondeni...
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajificha mvua [emoji23][emoji23][emoji23]Shida ni limited vision. Watu wanasema taa nzuri ila trust me ukipishana na gari kuna few seconds unakuwa blind hapo kama kuna kichanja mbele unajificha mvua.
Sasa Sisi wazee wa 150+ Hali hii si salama hata kidogo
Halafu wabongo wengi hawafahamu matumizi ya hizi led bulbs kwa ajili ya high beams. Wengi wanatumia bulbs ambazo siyo public road-legal. Matokeo yake ndiyo hayo ya kuumiza macho madereva wengine na hata kusababisha ajali.Unajificha mvua [emoji23][emoji23][emoji23]
Kupishana usiku ni kipengele kikubwa. Haswa ukutane na watu waliojichokea hawataki kuzima high beams. Na mwingine ametanua zaidi upande wako.
Yes exactly mtu anafunga led kwenye enclosure ya taa meant for halogen bulbs.... light scattering pattern yake tofauti sana mwishowe anaona vizuri sana kumbe anaumiza wengine.Halafu wabongo wengi hawafahamu matumizi ya hizi led bulbs. Wengi wanatumia bulbs ambazo siyo road-legal. Matokeo yake ndiyo hayo ya kuumiza macho madereva wengine na hata kusababisha ajali.
Hizi taa hazifai kabisa. Kuna kipindi walikuwa wanakamata magari yenye hizi taa sijui operation imeishia wapi?Halafu wabongo wengi hawafahamu matumizi ya hizi led bulbs kwa ajili ya high beams. Wengi wanatumia bulbs ambazo siyo public road-legal. Matokeo yake ndiyo hayo ya kuumiza macho madereva wengine na hata kusababisha ajali.
Na wao wanazo kwenye magari yao. Tanzania huwa tunapuuzia sana mamboHizi taa hazifai kabisa. Kuna kipindi walikuwa wanakamata magari yenye hizi taa sijui operation imeishia wapi?
kesho saa sita usiku naanza safari, juma nne asubuhi saa mbili nina kikao.. ndio raha ya usiku kikao kikisha nalalaaa weweee.. usingizi ukiisha naanza safari tena..Shida ni limited vision. Watu wanasema taa nzuri ila trust me ukipishana na gari kuna few seconds unakuwa blind hapo kama kuna kichanja mbele unajificha mvua.
Sasa Sisi wazee wa 150+ Hali hii si salama hata kidogo
Dodoma bado sana, sehemu za uhakika ni Mwanza na Dar es SalaanMimi hii trip ya juzi nilipasua tairi ya nyuma kulia kilomita chache baada ya mzani wa dumila.
Hiyo ilikuwa usiku mishale ya saa 6 kasoro na nilikuwa mwenyewe, spidi ndogo tu maybe 120 kuna kashimo nilikaona kadogo kumbe kana kingo kali.
Kuingiza mguu hapo ulitoka mlio nikajisemea sidhani kama tairi zimepona. Sekunde chache baadae nikapata matokeo yangu nyuma kumelala.
Tatizo la pale barabara nyembamba mno, hamna nafasi ukingoni kusema usogeze gari. Hata ule mstari wa njano wa kingo ya barabara hamna. Istoshe kuna majani marefu yameota mpaka lami inapoanzia, na kuna bonde ukingoni... nadhani mtakuwa mmevuta picha. Yani kusogeza gari pembeni ya barabara haikuwa option.
Japo niliweka triangle mbali kidogo na kuwasha hazard, nilipokuwa nikiweka spea nikiona gari inakuja nanyanyuka kwanza maana mwili wangu ulikuwa barabarani kabisa.
Tairi ilikufa ile aisee maana nilitembea nayo ikiwa imelala kama mita 100 kutafuta parking. Huwezi amini nilizunguka maduka kibao Dodoma kutafuta 225/55R17 hawakuwa nazo. Nilikuja kuipata mchana japo nimeifunga kishingo upande maana haina rating ya treadwear, traction na temperature
Safari njema.
All the bestkesho saa sita usiku naanza safari, juma nne asubuhi saa mbili nina kikao.. ndio raha ya usiku kikao kikisha nalalaaa weweee.. usingizi ukiisha naanza safari tena..
Hahaha kwamba unakivagaa kichanja 🤩🤩🤩 aisee ni noma unatakiwa upishane kwa taadhariShida ni limited vision. Watu wanasema taa nzuri ila trust me ukipishana na gari kuna few seconds unakuwa blind hapo kama kuna kichanja mbele unajificha mvua.
Sasa Sisi wazee wa 150+ Hali hii si salama hata kidogo