You don't know what you are missing my dear.Hahah!
Tupo pamoja boss wangu .
Mimi sipendi Safari ila huu uzi unanivutia,taratibu najikuta naanza kutamani kutembea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuendesha X6 ( I assume it's Xd35 ) chini ya 140kph ni matumizi mabaya ya rasilimali...😂😂😂
Inawezekana.You don't know what you are missing my dear.
Pima macho upewe miwani iwapo itakuwa ndio suluhisho.Shukrani
Daah sasa huwa najiuliza wale wanaosafiri usiku kwenye hizo speed huwa wanawezaje aiseee
Mimi nina tatizo la kutokuona mbali na huwa nawaza kusafiri usiku kwenye high speed hasa peke yangu
Ila huwa nasoma humu naona watu wanasema wanasafiri usiku kwenye high speed hadi nawaonea wivu
Chonde jamani,msimponze huyo dogo,hata 20 bado hajafika..Kuendesha X6 ( I assume it's Xd35 ) chini ya 140kph ni matumizi mabaya ya rasilimali...[emoji23][emoji23][emoji23]
Dogo anapenda vyuma vikubwa vikubwa.Dogo ana 20 gari kubwa hivyo la nini? Umri huo na hilo gari ni recipe for disaster!
Hapo kwenye suala la miwani sasa hapo ndipo mtihani ulipo. Sijui kwanini pamoja na kujigundua kuwa nina hili tatizo ila bado sipendi kujizoesha kuvaa miwani.Kutokuona mbali kunatatuliwa na miwani.
Nikivua miwani yangu -3.5 hata kupaki gari siwezi. Nikivaa natembea mwendo mzuri tu usiku kama mchana.
Mungu amuepushe na vishawishi maanake umri huo kutulia si kazi ndogo.
Mkuu hizi ndio mambo hutaki kusikia?All the best...uangalie speed..hawa jamaa humu usiwasikilize sana aisee...
bado tunakuhitaji tulipe wote deni la taifa .....hahahahaha
Itakuwa tatizo si kubwa sana.Hapo kwenye suala la miwani sasa hapo ndipo mtihani ulipo. Sijui kwanini pamoja na kujigundua kuwa nina hili tatizo ila bado sipendi kujizoesha kuvaa miwani.
Na ni kujichosha. Unatumia mudda mwingi kuangalia speedometer na kuadjust mguu badala ya kufocus kwenye barabara na kuenjoy trip.Kuendesha X6 ( I assume it's Xd35 ) chini ya 140kph ni matumizi mabaya ya rasilimali...[emoji23][emoji23][emoji23]
Acha tu kuna gari simple tu ya 2013/14 Mercedes E class kama anayoitamani Holy Man ukiigusa unaona kabisa dunia mbili tofauti na gari za 2007 kushuka chini.Ila kiukweli umasikini ulaaniwe! Kuna gari unaingia mpaka unajiuliza...wewe una fail wapi?
Ulishajaribu kufungua mlango wa Mercedes GLE? au VW Touareg? mzee mlango una kilo kumi..nenda sasa kwa zile gari za akina Masanja..mlango kilo moja na nusu...
Yaani umasikini ni adui mkubwa 🙂
😂😂😂🤭🤭Mkuu hizi ndio mambo hutaki kusikia?
View attachment 1797908View attachment 1797909
Mbona hatuna ushauri mbovu mkuu tunamwambia vitu practical kabisa. Hizi spidi hatupangi mkuu, zinatokea tu.
If anajua limits za gari, barabara na yeye mwenyewe na anaziheshimu, hakuna tatizo na umri.
Barabara inakukaribisha sana.Hahah!
Tupo pamoja boss wangu .
Mimi sipendi Safari ila huu uzi unanivutia,taratibu najikuta naanza kutamani kutembea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mentality nzuri
Basi itakuwa ishu ndogo. Wenzio tukivua miwani hatuwezi kusoma plate namba ya gari iliyoko mita 20 mbele!! Natembea na miwani ya spea kwenye gari ili ikivunjika hii nisije kushindwa kuendelea na safari!Hapo kwenye suala la miwani sasa hapo ndipo mtihani ulipo. Sijui kwanini pamoja na kujigundua kuwa nina hili tatizo ila bado sipendi kujizoesha kuvaa miwani.