Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Mie huwa naendesha kwa ustaarabu, umakini na uangalifu, maan napenda na kuthamini uhai wangu, ila tatizo road ikiwa nzuri na tambarare huwa napatwa na jini fulan wa kuweka high speed, [emoji23][emoji23][emoji23]

But ntakua makini ktk hilo, thanks kwa ushauri wako.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app

Kuna siku nimeendesha from Dar to Mwanza mwenyewe non stop (Touarage imesimama kweli kweli 🙂 . Nimefika around saa kumi na mbili jioni.....

Ile nimeingia hotelini.....nikajiuliza maswali mengi..Masanja ndo naanza kuingia uchumi wa kati...halafu nakimbizana na hizi barabara..why lakini? sikupata jibu la kuridhisha.

Aisee from there on..nina kijana wangu Dar....mda fulani alikuwa dereva wa diplomat mmoja. Nikiwa nasafiri mbali ndo anashika usukani. But if its a 500km and less naendesha mwenyewe.

The good news.... huyu dereva anaijua na kuipenda kazi yake haina mfano! Kikubwa kuliko vyote yaani gari inakaa safi mda wotee....mpaka raha! (nachukia sana gari chafu)

Truth is..nikiwa nasafiri nataka niwe free..nichungulie iPad kidogo..kama nina kiu nifungue ka kopo ka Heineken kidogo ilmradi...nifurahie safari yangu.

Hapana hizo trip ndefu na speed nawaachia...aiseee.....nisije katisha maisha yangu kizembe nikakosa raha za uchumi wa kati.....ambazo nimezihangaikia for years!

Pamoja sana wakuu..life is short..lets enjoy but.......responsibly!
 
Usidiriki kutembea usiku. Yani panga safari yako such that giza linapoingia uwe unafika unakoelekea au unalala. Hata kama hujui ufundi, wasafiri wenzio tunaweza kukusaidia, ila tu hakikisha una spare tairi yenye upepo unaotakiwa, wheel spanner na jeki. Na uvikague kila mara unapoanza safari. Pia hakikisha una triangle za usalama, ukipata shida washa hazard na uweke triangle nyuma na mbele ya gari, mita 50 kila upande. Triangle zinapeperushwa na upepo so zigandamize na jiwe zito.

Fungua bonnet na kaa nje ya gari... tukipita tukakuona umekaa kinyonge tutakuuliza kulikoni na kukupa msaada unaowezekana.
Yaan tangu hapo mie lazima kila aina ya spea na tyres zenye hewa ziwepo, na hela kias fulan cha kumpa fundi knawepo, maan naweza pata tatizo nkatafta fundi eneo hilo hilo ansaidie,

Kiukweli mie napenda safar ya usiku, ila nakataliwa naambiwa bado mdogo siwezi kuhimili mikiki ya usiku, hata nikiwa safarini usiku na mtu/watu sipewi kuendesha bas huwa nachukia ila bas tyuuh.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Kuna siku nimeendesha from Dar to Mwanza mwenyewe non stop (Touarage imesimama kweli kweli 🙂 . Nimefika around saa kumi na mbili jioni.....

Ile nimeingia hotelini.....nikajiuliza maswali mengi..Masanja ndo naanza kuingia uchumi wa kati...halafu nakimbizana na hizi barabara..why lakini? sikupata jibu la kuridhisha.

Aisee from there on..nina kijana wangu Dar....mda fulani alikuwa dereva wa diplomat mmoja. Nikiwa nasafiri mbali ndo anashika usukani. But if its a 500km and less naendesha mwenyewe.

The good news.... huyu dereva anaijua na kuipenda kazi yake haina mfano! Kikubwa kuliko vyote yaani gari inakaa safi mda wotee....mpaka raha! (nachukia sana gari chafu)

Truth is..nikiwa nasafiri nataka niwe free..nichungulie iPad kidogo..kama nina kiu nifungue ka kopo ka Heineken kidogo ilmradi...nifurahie safari yangu.

Hapana hizo trip ndefu na speed nawaachia...aiseee.....nisije katisha maisha yangu kizembe nikakosa raha za uchumi wa kati.....ambazo nimezihangaikia for years!

Pamoja sana wakuu..life is short..lets enjoy but.......responsibly!
Wenzio uchumi wa kati tunaufurahia kwa kuchoma wese na kutembea vibati. Ni starehe pia.
 
Kuna siku nimeendesha from Dar to Mwanza mwenyewe non stop (Touarage imesimama kweli kweli 🙂 . Nimefika around saa kumi na mbili jioni.....

Ile nimeingia hotelini.....nikajiuliza maswali mengi..Masanja ndo naanza kuingia uchumi wa kati...halafu nakimbizana na hizi barabara..why lakini? sikupata jibu la kuridhisha.

Aisee from there on..nina kijana wangu Dar....mda fulani alikuwa dereva wa diplomat mmoja. Nikiwa nasafiri mbali ndo anashika usukani. But if its a 500km and less naendesha mwenyewe.

The good news.... huyu dereva anaijua na kuipenda kazi yake haina mfano! Kikubwa kuliko vyote yaani gari inakaa safi mda wotee....mpaka raha! (nachukia sana gari chafu)

Truth is..nikiwa nasafiri nataka niwe free..nichungulie iPad kidogo..kama nina kiu nifungue ka kopo ka Heineken kidogo ilmradi...nifurahie safari yangu.

Hapana hizo trip ndefu na speed nawaachia...aiseee.....nisije katisha maisha yangu kizembe nikakosa raha za uchumi wa kati.....ambazo nimezihangaikia for years!

Pamoja sana wakuu..life is short..lets enjoy but.......responsibly!
Acha tuenjoy maisha ndo haya haya.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Yaan tangu hapo mie lazima kila aina ya spea na tyres zenye hewa ziwepo, na hela kias fulan cha kumpa fundi knawepo, maan naweza pata tatizo nkatafta fundi eneo hilo hilo ansaidie,

Kiukweli mie napenda safar ya usiku, ila nakataliwa naambiwa bado mdogo siwezi kuhimili mikiki ya usiku, hata nikiwa safarini usiku na mtu/watu sipewi kuendesha bas huwa nachukia ila bas tyuuh.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Usiku una changamoto za aina yake mkuu na ubabe wa tofauti sana. Pata kwanza uzoefu mchana, step by step.
 
Trip hii nataka nitoke Dar asubuhi sana nikalale Singida. Then kesho yake nianze ya kuelekea Arusha. Ila ndio nimeambiwa route hii nitaukosa mkeka wa Dodoma-Kondoa!
Utaukosa mkeka wa Dom to bbt[emoji848]
IMG_20210523_084532.jpg
 
Hivi mnawezaje kuona mkiwa mmevaa miwani? Nahisi huwa hamuoni nyie, ila poleni San, mie sijui hata itakuaje, maan miwani kwangu hapan

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kama ambavyo wewe unaona vizuri bila miwani vivyohivyo na sisi tunaona vizuri mubashara tukivaa miwani.
Kama ambavyo wewe ukivaa miwani unaona nyota,na sisi tusipovaa tunaona nyota kama zote..hata kuona sura ya mtu halisi hatuwezi.
Nilipokuwa shule,kuna kipindi mapindi yalikuwa yananipita sielewi chochote na nipo darasani,tena siti ya mbele..kisa nimeweka mgomo kuchongesha miwani.
Hakuna nyota sikuiona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku nimeendesha from Dar to Mwanza mwenyewe non stop (Touarage imesimama kweli kweli 🙂 . Nimefika around saa kumi na mbili jioni.....

Ile nimeingia hotelini.....nikajiuliza maswali mengi..Masanja ndo naanza kuingia uchumi wa kati...halafu nakimbizana na hizi barabara..why lakini? sikupata jibu la kuridhisha.

Aisee from there on..nina kijana wangu Dar....mda fulani alikuwa dereva wa diplomat mmoja. Nikiwa nasafiri mbali ndo anashika usukani. But if its a 500km and less naendesha mwenyewe.

The good news.... huyu dereva anaijua na kuipenda kazi yake haina mfano! Kikubwa kuliko vyote yaani gari inakaa safi mda wotee....mpaka raha! (nachukia sana gari chafu)

Truth is..nikiwa nasafiri nataka niwe free..nichungulie iPad kidogo..kama nina kiu nifungue ka kopo ka Heineken kidogo ilmradi...nifurahie safari yangu.

Hapana hizo trip ndefu na speed nawaachia...aiseee.....nisije katisha maisha yangu kizembe nikakosa raha za uchumi wa kati.....ambazo nimezihangaikia for years!

Pamoja sana wakuu..life is short..lets enjoy but.......responsibly!
Ila we jamaa[emoji1787][emoji119]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ohoo..
Unapita hadi Tunduma ama waelekea Tukuyu?


Sent using Jamii Forums mobile app
Depends, ratiba ni flexible zinaweza badilika muda wowote. Ila so far ntaishia Mbeya mjini.
In around 2 weeks nikishajaza mchele na mpunga kwenye buti ntaanza kurudi mjini via Iringa > Dodoma nijazie buti na madumu ya wine then nielekee Dar nikatulie.
 
Kama ambavyo wewe unaona vizuri bila miwani vivyohivyo na sisi tunaona vizuri mubashara tukivaa miwani.
Kama ambavyo wewe ukivaa miwani unaona nyota,na sisi tusipovaa tunaona nyota kama zote..hata kuona sura ya mtu halisi hatuwezi.
nilipokuwa shule,kuna kipindi mapindi yalikuwa yananipita sielewi chochote na nipo darasani,tena siti ya mbele..kisa nimeweka mgomo kuchongesha miwani.
Hakuna nyota sikuiona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh polen sana cc, vipi miwan ile mikanda yake haiumiz kweny masikio, mda mrefu?

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom