Singida babati utapambana na milima ya low gear , wenyeji wame upa jina 'mlima Logia'Trip hii nataka nitoke Dar asubuhi sana nikalale Singida. Then kesho yake nianze ya kuelekea Arusha. Ila ndio nimeambiwa route hii nitaukosa mkeka wa Dodoma-Kondoa!
Mie huwa naendesha kwa ustaarabu, umakini na uangalifu, maan napenda na kuthamini uhai wangu, ila tatizo road ikiwa nzuri na tambarare huwa napatwa na jini fulan wa kuweka high speed, [emoji23][emoji23][emoji23]
But ntakua makini ktk hilo, thanks kwa ushauri wako.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Niko Mbeya sasahivi mkuu, Mbarali.Sijaona anayetaka kupiga trip ya Mbeya,Songwe.
Hakuna anayevutiwa kutembea huko.?
Mwenyeji wenu nipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan tangu hapo mie lazima kila aina ya spea na tyres zenye hewa ziwepo, na hela kias fulan cha kumpa fundi knawepo, maan naweza pata tatizo nkatafta fundi eneo hilo hilo ansaidie,Usidiriki kutembea usiku. Yani panga safari yako such that giza linapoingia uwe unafika unakoelekea au unalala. Hata kama hujui ufundi, wasafiri wenzio tunaweza kukusaidia, ila tu hakikisha una spare tairi yenye upepo unaotakiwa, wheel spanner na jeki. Na uvikague kila mara unapoanza safari. Pia hakikisha una triangle za usalama, ukipata shida washa hazard na uweke triangle nyuma na mbele ya gari, mita 50 kila upande. Triangle zinapeperushwa na upepo so zigandamize na jiwe zito.
Fungua bonnet na kaa nje ya gari... tukipita tukakuona umekaa kinyonge tutakuuliza kulikoni na kukupa msaada unaowezekana.
Hivi mnawezaje kuona mkiwa mmevaa miwani? Nahisi huwa hamuoni nyie, ila poleni San, mie sijui hata itakuaje, maan miwani kwangu hapan
Wenzio uchumi wa kati tunaufurahia kwa kuchoma wese na kutembea vibati. Ni starehe pia.Kuna siku nimeendesha from Dar to Mwanza mwenyewe non stop (Touarage imesimama kweli kweli 🙂 . Nimefika around saa kumi na mbili jioni.....
Ile nimeingia hotelini.....nikajiuliza maswali mengi..Masanja ndo naanza kuingia uchumi wa kati...halafu nakimbizana na hizi barabara..why lakini? sikupata jibu la kuridhisha.
Aisee from there on..nina kijana wangu Dar....mda fulani alikuwa dereva wa diplomat mmoja. Nikiwa nasafiri mbali ndo anashika usukani. But if its a 500km and less naendesha mwenyewe.
The good news.... huyu dereva anaijua na kuipenda kazi yake haina mfano! Kikubwa kuliko vyote yaani gari inakaa safi mda wotee....mpaka raha! (nachukia sana gari chafu)
Truth is..nikiwa nasafiri nataka niwe free..nichungulie iPad kidogo..kama nina kiu nifungue ka kopo ka Heineken kidogo ilmradi...nifurahie safari yangu.
Hapana hizo trip ndefu na speed nawaachia...aiseee.....nisije katisha maisha yangu kizembe nikakosa raha za uchumi wa kati.....ambazo nimezihangaikia for years!
Pamoja sana wakuu..life is short..lets enjoy but.......responsibly!
Acha tuenjoy maisha ndo haya haya.Kuna siku nimeendesha from Dar to Mwanza mwenyewe non stop (Touarage imesimama kweli kweli 🙂 . Nimefika around saa kumi na mbili jioni.....
Ile nimeingia hotelini.....nikajiuliza maswali mengi..Masanja ndo naanza kuingia uchumi wa kati...halafu nakimbizana na hizi barabara..why lakini? sikupata jibu la kuridhisha.
Aisee from there on..nina kijana wangu Dar....mda fulani alikuwa dereva wa diplomat mmoja. Nikiwa nasafiri mbali ndo anashika usukani. But if its a 500km and less naendesha mwenyewe.
The good news.... huyu dereva anaijua na kuipenda kazi yake haina mfano! Kikubwa kuliko vyote yaani gari inakaa safi mda wotee....mpaka raha! (nachukia sana gari chafu)
Truth is..nikiwa nasafiri nataka niwe free..nichungulie iPad kidogo..kama nina kiu nifungue ka kopo ka Heineken kidogo ilmradi...nifurahie safari yangu.
Hapana hizo trip ndefu na speed nawaachia...aiseee.....nisije katisha maisha yangu kizembe nikakosa raha za uchumi wa kati.....ambazo nimezihangaikia for years!
Pamoja sana wakuu..life is short..lets enjoy but.......responsibly!
Usiku una changamoto za aina yake mkuu na ubabe wa tofauti sana. Pata kwanza uzoefu mchana, step by step.Yaan tangu hapo mie lazima kila aina ya spea na tyres zenye hewa ziwepo, na hela kias fulan cha kumpa fundi knawepo, maan naweza pata tatizo nkatafta fundi eneo hilo hilo ansaidie,
Kiukweli mie napenda safar ya usiku, ila nakataliwa naambiwa bado mdogo siwezi kuhimili mikiki ya usiku, hata nikiwa safarini usiku na mtu/watu sipewi kuendesha bas huwa nachukia ila bas tyuuh.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Utaukosa mkeka wa Dom to bbt[emoji848]Trip hii nataka nitoke Dar asubuhi sana nikalale Singida. Then kesho yake nianze ya kuelekea Arusha. Ila ndio nimeambiwa route hii nitaukosa mkeka wa Dodoma-Kondoa!
Kama ambavyo wewe unaona vizuri bila miwani vivyohivyo na sisi tunaona vizuri mubashara tukivaa miwani.Hivi mnawezaje kuona mkiwa mmevaa miwani? Nahisi huwa hamuoni nyie, ila poleni San, mie sijui hata itakuaje, maan miwani kwangu hapan
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ohoo..Niko Mbeya sasahivi mkuu, Mbarali.
Ila we jamaa[emoji1787][emoji119]Kuna siku nimeendesha from Dar to Mwanza mwenyewe non stop (Touarage imesimama kweli kweli 🙂 . Nimefika around saa kumi na mbili jioni.....
Ile nimeingia hotelini.....nikajiuliza maswali mengi..Masanja ndo naanza kuingia uchumi wa kati...halafu nakimbizana na hizi barabara..why lakini? sikupata jibu la kuridhisha.
Aisee from there on..nina kijana wangu Dar....mda fulani alikuwa dereva wa diplomat mmoja. Nikiwa nasafiri mbali ndo anashika usukani. But if its a 500km and less naendesha mwenyewe.
The good news.... huyu dereva anaijua na kuipenda kazi yake haina mfano! Kikubwa kuliko vyote yaani gari inakaa safi mda wotee....mpaka raha! (nachukia sana gari chafu)
Truth is..nikiwa nasafiri nataka niwe free..nichungulie iPad kidogo..kama nina kiu nifungue ka kopo ka Heineken kidogo ilmradi...nifurahie safari yangu.
Hapana hizo trip ndefu na speed nawaachia...aiseee.....nisije katisha maisha yangu kizembe nikakosa raha za uchumi wa kati.....ambazo nimezihangaikia for years!
Pamoja sana wakuu..life is short..lets enjoy but.......responsibly!
Lakini ataupata mkeka wa babati hadi kisongo , awe makini tu, na twiga na wanyama pori wengine kuanzia pale mdori hadi makuyuniUtaukosa mkeka wa Dom to bbt[emoji848]View attachment 1798025
Depends, ratiba ni flexible zinaweza badilika muda wowote. Ila so far ntaishia Mbeya mjini.
Mie mbna huwa naona ni simple sana, duuuhUsiku una changamoto za aina yake mkuu na ubabe wa tofauti sana. Pata kwanza uzoefu mchana, step by step.
Duuuh polen sana cc, vipi miwan ile mikanda yake haiumiz kweny masikio, mda mrefu?Kama ambavyo wewe unaona vizuri bila miwani vivyohivyo na sisi tunaona vizuri mubashara tukivaa miwani.
Kama ambavyo wewe ukivaa miwani unaona nyota,na sisi tusipovaa tunaona nyota kama zote..hata kuona sura ya mtu halisi hatuwezi.
nilipokuwa shule,kuna kipindi mapindi yalikuwa yananipita sielewi chochote na nipo darasani,tena siti ya mbele..kisa nimeweka mgomo kuchongesha miwani.
Hakuna nyota sikuiona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiendesha mwingine au ukiendesha mwenyewe?
Duh kazi ipoUtaukosa mkeka wa Dom to bbt[emoji848]View attachment 1798025
Sijawahi endesha usiku mie, ila wanavoendesha wengine nkitazama, naona kawaida hat mie naweza.Akiendesha mwingine au ukiendesha mwenyewe?
Wewe Sasa umeeleza vizuri sana,
Waelewe hili