Juakali jr
JF-Expert Member
- Aug 8, 2019
- 737
- 1,740
Mkuu kwa barabara zetu hizi za kuchana matairi hii technologia mpya itafika hata 10Km kweli?Run flat haihitaji chochote inatembea na pancha Kwa km80 zenye kit za kawaida hazina spare tyre ILA zina jack na spanner
Yummy wanakuulizia .. asee 😀😀😀Muhimu sana mtumishi, chombo ikiamka kituo mkoani
Mkuu hapo tupo sambamba, labla ni tembee huku huku town, ila mkoa lazima niwe na tairi la akiba.Mimi siwezi tembea safari bila spare tyre maana nishakumbwa sana na shida za kubadili tyres huko nyuma.
Paka sasa hivi kwa haraka haraka tokaea January ni zaidi ya 12,000km, kwababu ndani ya mwezi mmoja huwa natembea kati ya 2000km -5000km. Na kuna wakati trip moja tu huwa ninaenda zaidi ya +2000km non stop. Mfano kwa mwezi huu peke yake nimetembea 3,500km .. na leo usiku nakiamsha from Dsm to Tabora then mwanza..
Dah 10000-12000 ni km zangu za mwaka.Hivi Holy Man mwaka huu unaweza ukawa umetembea km ngapi?
Maana kama wewe, mimi pia lazima nisafiri kikazi...
Since January nimekula not less than 10000km highway
😀😀😀😀 Riziki zetu zipo kwenye hizo km mkuu... 😁Dah 10000-12000 ni km zangu za mwaka.
Raia mnazifuta ndani ya mwezi duh
Saint Anne [emoji119][emoji119][emoji119][emoji4]
ThanksNaunga mkono hoja Saint Anne [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji28][emoji120]Wakuishi nae huyu [emoji28][emoji28][emoji28]
Sasa Mkuu, kati ya fuel tank emptying na breakdown (yoyote ile) kioi chaweza dhibitika mapema bila kuhitaji hatua za dharura? Wese waliona kabisa lileeee linayeya, unless gauge imisbehaveTonatofautiana sana mimi kitu pekee nilichonacho ni kidumu cha litres tano tu cha kuwekea petrol,sina spaner yeyote wala spare ya namna yeyote na zaidi ya mwaka sasa sijawahi kupatwa na tatizo lolote ingawa ni hatari sana hii hali
Kasambaza upendo kwenye huu uzi hatariii leo
Na pengine ni kutokufahamu tu. Ila kama siyo road legal lazima iwe imeandikwa. Sasa unakuta mtu kanunua tu bila kusoma, kisha anajiwekea mataa ambayo yanapaswa kutumika kwenye barabara za maporini huko.Though I don't think they are legal.
Msinisifie sana.Kasambaza upendo kwenye huu uzi hatariii leo
Kweli katisha!Saint Anne thanks for likes....
Thanks
I'm humbled[emoji120][emoji120]
Naona niwaunge mkono kwa likes tu,Mimi sipendi trip.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen[emoji120][emoji120]Mtakatifu Anne... much luv for you. Long live lovely sisy.
-Kaveli-
Niliwahi kupita usiku nikitokea Holili, wala sikuifaidi, maana mimi na usiku, hapana. Mungu akipenda Julai nitapita hiyo njia.Hii njia hii one day yes...
Na pengine ni kutokufahamu tu. Ila kama siyo road legal lazima iwe imeandikwa. Sasa unakuta mtu kanunua tu bila kusoma, kisha anajiwekea mataa ambayo yanapaswa kutumika kwenye barabara za maporini huko.
View attachment 1798666
Hatari sana, Usiku hamuoti barabara kweli????😀😀😀😀 Riziki zetu zipo kwenye hizo km mkuu... 😁