Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Mwisho wa mwaka huu ndio ushafika. Wengine huwa tunapambana mwaka mzima siku za mwisho kama hizi ndio tunapumzika. Wale wa road trips ndio wakati wetu huu kupiga masafa mafupi,marefu na ya Kati. Mwaka huu napiga mikoa ya kaskazini Tanga,Kili na Arusha. Je mwenzangu road trips zako wapi?

Raha ya road trip inabidi uwe na
1. Kampani nzuri (pisi Kali itapendeza)
2. Gari yenye uwezo (nimetoa kitu DVA ndio trip yake ya Kwanza hii)
3. Mfuko uwe na afya kidogo

All in all drive safe and take care
mng'ato
Boeing 747
View attachment 1652044
Tupo,me nakitu cha T...CKP...mpaka kufikia jana kuanzia j3 iliyopita ya tarehe 14...Dom-Dar, Dar- Ar, Ar- Dom....xmas ikianza, Dom- Ar, Ar -Dar..xmas ikiisha, Dar- Ar, Ar- Dom....Mwaka mpya ukianza, Dom- Dar, Dar- Ir,then Ir - Dom...vipi hapo? 😍
 
Tupo,me nakitu cha T...CKP...mpaka kufikia jana kuanzia j3 iliyopita ya tarehe 14...Dom-Dar, Dar- Ar, Ar- Dom....xmas ikianza, Dom- Ar, Ar -Dar..xmas ikiisha, Dar- Ar, Ar- Dom....Mwaka mpya ukianza, Dom- Dar, Dar- Ir,then Ir - Dom...vipi hapo? 😍
Uko vizuri. Enjoy your trip boss
 
Yeah ukiwa mfanyabiashara/umejiajiri kuna ka Uhuru fulani hivi. Akili ikichoka unaenda zako nje ya mji for few days
ukweli mtupu, hata sisi wakulima tupo huru sana, unabeba familia X-mas na Mwaka mpya 2021 unawakuta Mlimani au Zenj au milimani Lushoto kwa King'asti unaichungulia Kenya
lkn km umeajiriwa, utasikia Tangazo wakurugenzi wote hakuna kwenda likizo atakayetoka viti vitaondolewa, basi ujue hapo ni mpaka chini kwa walimu na manesi
acheni nibaki sina job wala biashara mradi nina kaVW kobe kangu na T ... Axx kanatosha kuovertake T ... DVA za akina RRONDO
 
ukweli mtupu, hata sisi wakulima tupo huru sana, unabeba familia X-mas na Mwaka mpya 2021 unawakuta Mlimani au Zenj au milimani Lushoto kwa King'asti unaichungulia Kenya
lkn km umeajiriwa, utasikia Tangazo wakurugenzi wote hakuna kwenda likizo atakayetoka viti vitaondolewa, basi ujue hapo ni mpaka chini kwa walimu na manesi
acheni nibaki sina job wala biashara mradi nina kaVW kobe kangu na T ... Axx kanatosha kuovertake T ... DVA za akina RRONDO
Huna job wala biashara?! Hata kilimo ni biashara aka AGRIBUSINESS
 
Namaanisha ukiwa unaendesha. Binafsi sipendi kuendesha nikiwa sijui wapi nilipo. Unajikuta unaendesha tu.

Kuna wakati unatamani ufike mapema destination.
Kuendesha usiku raha sana, tena unakimbia ni hakuna maana upo mwenyewe
ukiona usingizi unakunyemelea wewe anza kwa kupayuka fuatiliza music wa kwenye gari, exhaust inavyotema kinanda huko nje maana ni diesel na manual mm mwishowe nilivua nguo zote nikasema hapa sisimami hata kikiikuta Barrier maana energy drink zote zilishindwa, sigara, kilagy na konyagi,
nimetoka DSM na L/cruiser usiku wa saa 3, alfajiri natakiwa nikabebe wahusika familia Dodoma kwenda Bukoba, nimekuja kuzidiwa Shelui Igunga mchana lami inachoma macho, tulifika salama tukazika usiku tukarudi,
 
Kuendesha usiku raha sana, tena unakimbia ni hakuna maana upo mwenyewe
ukiona usingizi unakunyemelea wewe anza kwa kupayuka fuatiliza music wa kwenye gari, exhaust inavyotema kinanda huko nje maana ni diesel na manual mm mwishowe nilivua nguo zote nikasema hapa sisimami hata kikiikuta Barrier maana energy drink zote zilishindwa, sigara, kilagy na konyagi,
nimetoka DSM na L/cruiser usiku wa saa 3, alfajiri natakiwa nikabebe wahusika familia Dodoma kwenda Bukoba, nimekuja kuzidiwa Shelui Igunga mchana lami inachoma macho, tulifika salama tukazika usiku tukarudi,
Hiyo ni hatari,ilishanitokea mwka juzi,nilitoka Mwanza mbili usiku mpaka nafika Manyoni nimeshalowa chapachapa kwa kujimwagia maji kukata usingizi na hapo nimeshatafuna chew gum za kutosha.....nikaona isiwe tabu nikajiegesha pale Manyoni pembeni ya kituo cha mafuta,kulipopambazuka nikaendelea na safari yangu ya kuja Dar
Huwa sipendi kuendesha usiku safari ndefu,labda kwa misele ya hapa hapa jijini,kutoka Julliana kwenda kulala mkuranga
 
Kuendesha usiku raha sana, tena unakimbia ni hakuna maana upo mwenyewe
ukiona usingizi unakunyemelea wewe anza kwa kupayuka fuatiliza music wa kwenye gari, exhaust inavyotema kinanda huko nje maana ni diesel na manual mm mwishowe nilivua nguo zote nikasema hapa sisimami hata kikiikuta Barrier maana energy drink zote zilishindwa, sigara, kilagy na konyagi,
nimetoka DSM na L/cruiser usiku wa saa 3, alfajiri natakiwa nikabebe wahusika familia Dodoma kwenda Bukoba, nimekuja kuzidiwa Shelui Igunga mchana lami inachoma macho, tulifika salama tukazika usiku tukarudi,
Usiku kama nasafari ndefu, huwa nachukua redbull mbili au tatu, na madumu ya maji lita 1.5 matatu na mix naanza kupiga kabla sijaanza, ili kojo linisumbue sumbue, alafu napuliza moshi wa masigara kama gari moshi na milaa kwa pembeni.. hiyo sipati usingizi hata kiduchu. Na huwa napenda sana silence kwa ajiri ya focus kwenye road. Huwezi kuta nasafiri na mziki kwa usiku 😀😀😀
 
Nimewaona wengi huwa wanafungulia kioo mpaka mwisho ule upepo u avyokupiga huwezi lala.
Hiyo ni hatari,ilishanitokea mwka juzi,nilitoka Mwanza mbili usiku mpaka nafika Manyoni nimeshalowa chapachapa kwa kujimwagia maji kukata usingizi na hapo nimeshatafuna chew gum za kutosha.....nikaona isiwe tabu nikajiegesha pale Manyoni pembeni ya kituo cha mafuta,kulipopambazuka nikaendelea na safari yangu ya kuja Dar
Huwa sipendi kuendesha usiku safari ndefu,labda kwa misele ya hapa hapa jijini,kutoka Julliana kwenda kulala mkuranga
 
Ukwaju Uhuru wa kiuchumi bwana ni khabare tafauti. insha'Allah Mungu yupo na Paw tutafika huko
ukweli mtupu, hata sisi wakulima tupo huru sana, unabeba familia X-mas na Mwaka mpya 2021 unawakuta Mlimani au Zenj au milimani Lushoto kwa King'asti unaichungulia Kenya
lkn km umeajiriwa, utasikia Tangazo wakurugenzi wote hakuna kwenda likizo atakayetoka viti vitaondolewa, basi ujue hapo ni mpaka chini kwa walimu na manesi
acheni nibaki sina job wala biashara mradi nina kaVW kobe kangu na T ... Axx kanatosha kuovertake T ... DVA za akina RRONDO
 
Yes yes. Wanakutengenezea buree. Kuna sehemu ya Moto ulitaka kuchoma mwenyewe
Huko Lushoto nitapatafuta, si unapandia hapo Mombo?
ni hao kuku wakienyeji nawatafuta nitawaomba wahudumu waniletee ntatengeneza mwenyewe, Utalii wa ndani mwaka huu ni huko Lushoto
 
Back
Top Bottom