King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,855
- 24,925
Kila la kheri mkuu na furahia likizo yako
Post yako nimei sceenshot
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Post yako nimei sceenshot
Asante but sio mwaka huu mremboKila la kheri mkuu na furahia likizo yako
Watu wa mbio wanapenda usiku hamna usumbufu wa wale jamaa zetu
Asante but sio mwaka huu mrembo
Hapo kwa highest point Lushoto nimekumbuka Irente Lodge
Au sijui niende huko
Kuna buses zinafika huko?
Hahahah sasa unaona 100M beam si unajiachia hata 150kph30M ukiwa unatembea hata 80kph huwezi jiokoa.
Unahitaji atleast 100M ya beams na usizidi 100kph.
Ukipata majanga unajiokoa fasta.
Kunafikika ukiwa na gari ndogo?Irente sio highest point in Lushoto. Mambo ndio highest na ipo km 60 kutoka irente
Amina, Mungu akupe sawa na hitaji lakoMalengo ndio muhimu. Mie hapa nina plans mpaka za holiday ya 2022 tayari. Mungu atupe uzima tu.
Hiyo njia pia haikunisaidia nahisi ule usingizi ulikuwa unanitafutia ajaliNimewaona wengi huwa wanafungulia kioo mpaka mwisho ule upepo u avyokupiga huwezi lala.
2022 tunaingia T....EAA.Namba zinakimbia sana
unajijua una matatizo ya usingizi night hakikisha umelala vya kutosha mchana. Jifosi yani uamke mida ambayo ndio utajiandaa na kuanza kutoka.Hiyo ni hatari,ilishanitokea mwka juzi,nilitoka Mwanza mbili usiku mpaka nafika Manyoni nimeshalowa chapachapa kwa kujimwagia maji kukata usingizi na hapo nimeshatafuna chew gum za kutosha.....nikaona isiwe tabu nikajiegesha pale Manyoni pembeni ya kituo cha mafuta,kulipopambazuka nikaendelea na safari yangu ya kuja Dar
Huwa sipendi kuendesha usiku safari ndefu,labda kwa misele ya hapa hapa jijini,kutoka Julliana kwenda kulala mkuranga
Ulitupiwa kijiniHiyo njia pia haikunisaidia nahisi ule usingizi ulikuwa unanitafutia ajali
Good for you.Kuendesha usiku raha sana, tena unakimbia ni hakuna maana upo mwenyewe
ukiona usingizi unakunyemelea wewe anza kwa kupayuka fuatiliza music wa kwenye gari, exhaust inavyotema kinanda huko nje maana ni diesel na manual mm mwishowe nilivua nguo zote nikasema hapa sisimami hata kikiikuta Barrier maana energy drink zote zilishindwa, sigara, kilagy na konyagi,
nimetoka DSM na L/cruiser usiku wa saa 3, alfajiri natakiwa nikabebe wahusika familia Dodoma kwenda Bukoba, nimekuja kuzidiwa Shelui Igunga mchana lami inachoma macho, tulifika salama tukazika usiku tukarudi,
Yes yes. Wanakutengenezea buree. Kuna sehemu ya Moto ulitaka kuchoma mwenyewe
Kumbe ni hizo qwio qwio na mabroilerItakuwa waletewa hadi chumbani
Hakuna kitu kibaya kama usingizi.Kuendesha usiku raha sana, tena unakimbia ni hakuna maana upo mwenyewe
ukiona usingizi unakunyemelea wewe anza kwa kupayuka fuatiliza music wa kwenye gari, exhaust inavyotema kinanda huko nje maana ni diesel na manual mm mwishowe nilivua nguo zote nikasema hapa sisimami hata kikiikuta Barrier maana energy drink zote zilishindwa, sigara, kilagy na konyagi,
nimetoka DSM na L/cruiser usiku wa saa 3, alfajiri natakiwa nikabebe wahusika familia Dodoma kwenda Bukoba, nimekuja kuzidiwa Shelui Igunga mchana lami inachoma macho, tulifika salama tukazika usiku tukarudi,
Halafu huwa sipendi makelele kabisa hata iwe mziki, redio n.k.Kuendesha usiku raha sana, tena unakimbia ni hakuna maana upo mwenyewe
ukiona usingizi unakunyemelea wewe anza kwa kupayuka fuatiliza music wa kwenye gari, exhaust inavyotema kinanda huko nje maana ni diesel na manual mm mwishowe nilivua nguo zote nikasema hapa sisimami hata kikiikuta Barrier maana energy drink zote zilishindwa, sigara, kilagy na konyagi,
nimetoka DSM na L/cruiser usiku wa saa 3, alfajiri natakiwa nikabebe wahusika familia Dodoma kwenda Bukoba, nimekuja kuzidiwa Shelui Igunga mchana lami inachoma macho, tulifika salama tukazika usiku tukarudi,
Kuna Benz GLE la mshikaji mmoja nilisafiri nalo mwaka jana.Hahahah sasa unaona 100M beam si unajiachia hata 150kph
Nataka plate number T 666 EEE.2022 tunaingia T....EAA.
Usiku ni hatari sana ndugu....nakushauri tu...lala walau anza safari utakapoamka hata kama ni saa tisa,walau labda iwe muhimu sana.Kuendesha usiku raha sana, tena unakimbia ni hakuna maana upo mwenyewe
ukiona usingizi unakunyemelea wewe anza kwa kupayuka fuatiliza music wa kwenye gari, exhaust inavyotema kinanda huko nje maana ni diesel na manual mm mwishowe nilivua nguo zote nikasema hapa sisimami hata kikiikuta Barrier maana energy drink zote zilishindwa, sigara, kilagy na konyagi,
nimetoka DSM na L/cruiser usiku wa saa 3, alfajiri natakiwa nikabebe wahusika familia Dodoma kwenda Bukoba, nimekuja kuzidiwa Shelui Igunga mchana lami inachoma macho, tulifika salama tukazika usiku tukarudi,