ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Anafaa kwa matumizi binafsi [emoji23][emoji23]Wakuishi nae huyu [emoji28][emoji28][emoji28]
I know my car - ndilo jibu utakalopewa ukulizaMkuu hapo tupo sambamba, labla ni tembee huku huku town, ila mkoa lazima niwe na tairi la akiba.
Kuna raia zinaujasiri sana, unakuta kitank kinawaka alafu unamkuta anapiga route bila wasiwasi.
Za highway au umejumlisha na za city?Nafikiri tangu mwaka uanze hadi leo Nina kama 8000km
Basi tuu nina historia na Nissan Patrol na nina Mahaba nalo.
Kuhusu mwendo nna gari langu personal nalipendamo
Cc mrangiACHANA NA NISSAN WEWE , LIKICHANGANYA MPAKA 160 NILAGONGA.MM NINALO MWAKA WA 28 SASA FULL AC MZIKI MNENE
View attachment 1798842
View attachment 1798843
View attachment 1798844
View attachment 1798845
View attachment 1798846
Aisee!DAR-UBENA ZOMOZI- NGERENGERE MVUHA-KISAKI- RUFIJI-MLOKA-IKWIRIRI-DAR Nilipiga hii trip nilivyorudi home nililala week maumivu yake. Hio trip gari haikuzimwa imewashwa dar saa nane usiku imerudi kesho yake saa nane usiku hamana kuzima engine. Juu kwa JUU
Mie huwa niko sensitive na rpm bars! Nakanyaga niwezavyo ila sivushagi 2000 rotations per minute! Inasaidia sana kunipa economy nzuriFor some reason Mimi nimegundua combination mbaya kwangu ni mziki mkubwa. Yaani mziki ukiwa full blast mguu unakanyaga zaidi. Basi naepuka kuweka mziki sauti kubwa hasa nikiwa mwenyewe na naenda mbali
Ila mie gari hii sijawahi kuikubali kiukweli,ACHANA NA NISSAN WEWE , LIKICHANGANYA MPAKA 160 NILAGONGA.MM NINALO MWAKA WA 28 SASA FULL AC MZIKI MNENE
View attachment 1798842
View attachment 1798843
View attachment 1798844
View attachment 1798845
View attachment 1798846
Ubungo Kibo/PUMA Mwenge/Tegeta Kibaoni.....Kwa Arusha..Mianzini..Moshi..Njia Panda-Himo.Hivi kutoka dar to arusha usiku na kurudi pia usiku. Hua mnapata vichwa/abiria njiani? Kama ndio ni maeneo gani? Check points zipi wanakagua kagua sana usiku kwa njia hiyo kupitia bagamoyo?
Nimesoma coments, jamaa anastahili tuzo...[emoji28][emoji28]Jamaa ukimkuta mlimani city anasubiri safari utafikiri anaenda Kariakoo [emoji23][emoji23][emoji23]