We unasema Semi (trailer)!!!Kuna ndororo pia kama unaenda mahenge.ni nouma kama unapiga u turn.sijawahi kuona semi kule maana kuna kona ya hatarh halafu mlima ni mkali
Wee mommy eti zombie? Khaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ah mimi bana nikiwa nasafirisafiri sana akili ndiyo huwa ina recharge! Nikikaa sehemu moja kwa muda mrefu nakuwa kama zombie!
ILA lodge za Bagamoyo mizinguo tu. Bagamoyo ilitakiwa iwe sehemu ya kukimbilia haraka Dar ikikuchosha lakini ukienda unaishia kuwa bored. There is nothingSawa sawa mkuu! Unafika hadi ufukweni kutembea ama unaishia kwenye lodge au hotel tu?
[emoji2][emoji2][emoji2]Leo nieona Rav 4 Masawe namba DW....Jamaa kaagiza Japan..[emoji849][emoji849][emoji849]
Anyway, kipndacho roho...[emoji119][emoji119][emoji119]
Hii mkuu....ya mwaka 1998..[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Rav 4 massawe?Hii ndin ipo vp mkuu?
Labda alishajiapiza akipata mzigo lazima akae humo, na waweza kuta sedan yake iliyopo kwake ni 'baluni' [emoji4][emoji4]Hii mkuu....ya mwaka 1998..[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Hivi kweli natoa hela yangu duniabya sasa naagiza hii 3S Japan..?
Hata hivyo nilivyomsoma yule mtu, lazima ni mstaafu..View attachment 1818888
We acha tu mkuu...Kipenda roho mkuu.
Lile tege limeendelea kuwa gonjwa sugu mpaka kwenye Vanguard aisee, seen some with hiyo makituWe acha tu mkuu...
Nikishaonaga lile tege lake nachoka kabisaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah hana mke/mchepuko/danga?Leo nimeona Rav 4 Masawe namba DW....Jamaa kaagiza Japan..[emoji849][emoji849][emoji849]
Anyway, kipndacho roho...[emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata km mstaafu bhana lol, afu hapo mke na mchepuko wake watakua wanaji mwaya mwaya "babe/mume ana gari" jamani khaaaaah.Hii mkuu....ya mwaka 1998..[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Hivi kweli natoa hela yangu dunia ya sasa naagiza hii 3S Japan..?
Hata hivyo nilivyomsoma yule mtu, lazima ni mstaafu..View attachment 1818888
Aiseee basi hata Chunya sidhani kama mabasi makubwa ya abiria yanaenda compared to Tunduma na Kyela ambako huwa yanaenda mengi tu. Na mwendo ni wa almost masaa yale yale kutoka Mbeya kwenda kwenye hizo wilaya zote tatu.We unasema Semi (trailer)!!!
Sumbawanga - Muze hata basi tu la kawaida halipiti, ni fuso vipisi (short chassis) labda basi kama zile yutong fupi ndio inaweza kwa kuchekecha
#nyuzi za kona na nyuzi za mwinamo baadhi ya sehemu zinatisha kinoma.
Ah nikikaa eneo moja tu kila siku najihisi kuumwaumwa. Napenda sana kuzurura.Wee mommy eti zombie? Khaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hutaki utulie eneo 1? Wee ni kuzurura tyuuh.
Daaaah wee mommy mbna hatari hii sasa, [emoji23][emoji23]Ah nikikaa eneo moja tu kila siku najihisi kuumwaumwa. Napenda sana kuzurura.
Kweli kabisa yaani. Japo mie huwa naambiwa eti nina roho ngumu maana siyo kwa aina ya trip ninazopenda.Duh hii hobby Acha tu ILA nimegundua haina jinsia