Hapo ukitoka utaskilizia pulling itakavyochange
Unatuharibia waislam sema DAWAPamekaa kilocal pale ila wanapush mdudu vibaya mno aisee.. pale oppostite na st anna mission hospital ndio chimbo langu
Utanikuta Dom mkuu nimetia kambi huku.ISO M.CodD nakiamsha mda huu kutoka mlimani city to dodoma [emoji846][emoji846][emoji846]
Always nawekaga mafuta Total au Puma. Ikishindikana sana Engen au Oryx.Extrovert RRONDO
Nimepita Total kuweka kibaba kama mlivyo nishauri [emoji846][emoji846]
View attachment 1821706
Mguu unawasha imetafutwa sababu hapo [emoji23][emoji23]Jamani si tulikubaliana wiki mbili za mapumziko?!! Au muda unakimbia mimi nimesimama?
Ukiitwa na Boss, hata kama ulikuwa unakula acha chakula 😀😀😀😀😀Jamani si tulikubaliana wiki mbili za mapumziko?!! Au muda unakimbia mimi nimesimama?
Nafikia bambalaga kupiga mlo kwanza, nipe code mkuuUtanikuta Dom mkuu nimetia kambi huku.
Karibu sana
Ndio nyimbo zangu za road tripUmenifanya ni play hiyo nyimbo ya John Denver mda huu.
Hii nyimbo ina mzuka wa aina yake ukiwa njiani.Ndio nyimbo zangu za road trip
Mida ya saa ngapi mkuu unikute?Nafikia bambalaga kupiga mlo kwanza, nipe code mkuu
Ulitumia gari gani?Wakuu leo nimetola Dodoma saa tisa alfajiri kuja muleba nimefika saa saba kasoro namshukuru nimefika salama bila usumbufu wowote na sijasimamishwa na askari yoyote yule.
Huyo hapo mkuuHata kapicha ka mnyama aliekufikisha huko salama mkuu...
Mbna hujapita kunichukua? Au unataka nkubwage wee mangi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Primio F mkuuUlitumia gari gani?
Malizia sura yote, huenda tunafahamiana mkuu.[emoji23][emoji23]Huyo hapo mkuuView attachment 1821857
Mkuu ndio nimeingia hapa bambalaga mda huuMida ya saa ngapi mkuu unikute?
Kuna namba A ya Landrover 109 naitamani sana asee, gari ya Babu ilishakufa. Wakiruhusu hii kitu mimi wa kwanza mstariniWabongo wanavyoabudu namba mpya nani atakubali namba ya zamani?
Nimeona mafuta yamebaki mengi, nimetumia nusu tank tu.. ngona niendelee na tafiti yanguHapo ukitoka utaskilizia pulling itakavyochange