Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
....coz nimeangalia kwa makini hapo kidevuni, pua na mdomo...nikasema huyu si ndugu yangu huyu....[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda pm mkuu
hahaaaaa cheka tu umekaa kama moist chocolate cakeNgoja nicheke tu japo sijakuelewa mkuu[emoji23][emoji23]
mie hata sijatoka labda saa nane hiviMi niko road tayari wakuu
Hizo inapaswa uwa na chuma kweli, halafu usiwe mwoga wa barabara. Ukiwa hivyo, safari inakuwa fupi. Ila NI HATARI SANANiliwahi jaribu mfata Waziri Mambo ya Nje wale jamaa wanatembea
Holy Man ISO M.CodDRoad ya Mbeya to Musoma ikojee kwa sasa baadae nataka niingiie road by saa 18:30Pm
Mkuu hii FUGA DMZ ndio wewee?Mkuu utaikuta fuga mbele... nikiona ile audi ya blue tu najua kimeumana
nipo poa sana na mzuka kama woteAisee uko poa leo?
@RRONDOMpime kwanza utamjua tu...hakubali kupitwa 😀😀
NdioMkuu hii FUGA DMZ ndio wewee?
Pigeni hata kapicha mtuwekee tuwaone...Ndio
Mbeya - Igawa (panachosha)Road ya Mbeya to Musoma ikojee kwa sasa baadae nataka niingiie road by saa 18:30Pm
Mkuu nilikuwa nimepaki sehemu mnyama fuga akanipita siwezi mkuta tena maana nimekaa hapa nusu saa[emoji23][emoji23]Pigeni hata kapicha mtuwekee tuwaone...
Wana Jf kukutana live si kazi rahisi...ukizingatia fake ID [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Ndio
Hahaha...jamaa kaamua kuunga mbele kwa mbele...[emoji119][emoji119]Mkuu nilikuwa nimepaki sehemu mnyama fuga akanipita siwezi mkuta tena maana nimekaa hapa nusu saa[emoji23][emoji23]
Hilo eneo linavutia sana
Kuna watu wanafaidi hii nchi...sisi wengine kazi zetu ni za kufungiwa hapo hapo...[emoji119][emoji119][emoji849][emoji849][emoji849][emoji119][emoji119]