Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hivi ulifanikiwa kuipita hiyo vx CRA kwelii maana ulikuwa unamkimbiza[emoji23][emoji23]
Jamaa nimeongozana naye mpaka dumila mizani akaingia kuchomba dawa nikatembea. Napenda kuwafuata nyuma, askari hawanizingui wanajua tuko pamoja.

Leo nimeongozana na VX V8 tatu. Mmoja tumeanza Ihumwa mpaka Kibaigwa, huyu alikuwa anatembelea 180.

Wa pili hana mwendo alikuwa anatembelea 150 nikaenda naye mpaka Kiyegeya pale sokoni akasimama kununua mazaga nikasepa.

Watatu ndiye uliyenikuta naye. Akitoa natoa mpaka Dumila
 
[emoji23][emoji23][emoji23] umefika wapi now
Jamaa nimeongozana naye mpaka dumila mizani akaingia kuchomba dawa nikatembea. Napenda kuwafuata nyuma, askari hawanizingui wanajua tuko pamoja.

Leo nimeongozana na VX V8 tatu. Mmoja tumeanza Ihumwa mpaka Kibaigwa, huyu alikuwa anatembelea 180.

Wa pili hana mwendo alikuwa anatembelea 150 nikaenda naye mpaka Kiyegeya pale sokoni akasimama kununua mazaga nikasepa.

Watatu ndiye uliyenikuta naye. Akitoa natoa mpaka Dumila
 
Jana baada ya kumaliza kilochonipeleka muleba nilitoka saa sita kasoro mchana nikafika Dom tatu na nusu usiku ni kilometa 930
Nipo hapa Muleba
IMG_20210619_175924_3.jpg
 
Mbeya - Igawa (panachosha)

Igawa - Iringa (pako vizuri sana)

Iringa - Dodoma (shwari lakini tahadhari ya ziada baaadhi ya sehemu na matuta pia)

Dom - Singida (wewe tu)

Singida - Nzega (wewe tu)

Wengine wasaidie kutokea hapo maana kuna kupitia Mwanza na kwingine.
Asante mkuu shukuran sana nitakuwa mwangalifu sana mdomdo natoka Mbeya (full tanks)
 
Back
Top Bottom