ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Chalinze hiiNipo hapa morogoro hadi saa 11
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chalinze hiiNipo hapa morogoro hadi saa 11
Nipo hapa mkuu wangu.. siondoki sasa hivi.. kahawa nagonga nakaaa natazama view hii safiiii..Chalinze hii
Kuna watu wanafaidi hii nchi...sisi wengine kazi zetu ni za kufungiwa hapo hapo...[emoji119][emoji119][emoji849][emoji849][emoji849][emoji119][emoji119]
Nawahi harusi mjini mkuu [emoji23][emoji23]Aisee!
Jamaa nimeongozana naye mpaka dumila mizani akaingia kuchomba dawa nikatembea. Napenda kuwafuata nyuma, askari hawanizingui wanajua tuko pamoja.Hivi ulifanikiwa kuipita hiyo vx CRA kwelii maana ulikuwa unamkimbiza[emoji23][emoji23]
Jamaa nimeongozana naye mpaka dumila mizani akaingia kuchomba dawa nikatembea. Napenda kuwafuata nyuma, askari hawanizingui wanajua tuko pamoja.
Leo nimeongozana na VX V8 tatu. Mmoja tumeanza Ihumwa mpaka Kibaigwa, huyu alikuwa anatembelea 180.
Wa pili hana mwendo alikuwa anatembelea 150 nikaenda naye mpaka Kiyegeya pale sokoni akasimama kununua mazaga nikasepa.
Watatu ndiye uliyenikuta naye. Akitoa natoa mpaka Dumila
Wapi ilikuwa mkuu [emoji23][emoji23]Mkuu nilikuwa nimepaki sehemu mnyama fuga akanipita siwezi mkuta tena maana nimekaa hapa nusu saa[emoji23][emoji23]
Kwa Mathiasi ule ujenzi si uliisha?!Niko kibaha kwa mathias. Foleni imeumana.
Wapi hiyo?
Yeah ila naona foleni. Sio mbaya lakini niko maili mojaKwa Mathiasi ule ujenzi si uliisha?!
Nipo mbezi mkuuNiko kibaha kwa mathias. Foleni imeumana.
Wapi hiyo?
Panafoleni ya kijinga sanaaKwa Mathiasi ule ujenzi si uliisha?!
Kuna sehemu sikumbuki jina ila ulikuwa unafukuzana na ile VX yenye mzigo uliofunikwa na turubai juu[emoji23][emoji23]Wapi ilikuwa mkuu [emoji23][emoji23]
Nipo hapa MulebaJana baada ya kumaliza kilochonipeleka muleba nilitoka saa sita kasoro mchana nikafika Dom tatu na nusu usiku ni kilometa 930
Mkuu nipo dar tayariNipo hapa MulebaView attachment 1823794
Asante mkuu shukuran sana nitakuwa mwangalifu sana mdomdo natoka Mbeya (full tanks)Mbeya - Igawa (panachosha)
Igawa - Iringa (pako vizuri sana)
Iringa - Dodoma (shwari lakini tahadhari ya ziada baaadhi ya sehemu na matuta pia)
Dom - Singida (wewe tu)
Singida - Nzega (wewe tu)
Wengine wasaidie kutokea hapo maana kuna kupitia Mwanza na kwingine.
Hongera sanaMkuu nipo dar tayari