Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Mungu akipenda leo jioni jioni naanza safar kutoka ifakara kwenda dom.ni mwendo wa kuvizia magari ya mizigo au private.tusio na gari tunashida sana!
😀😀😀 kuna siku nimetumia kama saa moja na nusu kutoka ifakara hadi mahenge, niliamua kuimuza gari na zile lasta 😀😀😀.. nilikuwa nawahi sehemu.. ila napapenda sana Mahenge ukiwa juu kule kwenye ifadhi ya ule msitu kutazama kwa chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…