Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Road Trip zangu ni kama ifuatavyo.

DAR - Arusha-Nairobi - Kampala.

Nikirudi naenda kupumzika ufukweni kidogo then napiga moja ya

Dar- Mwanza - Serengeti.

Mwanza - Manyara - Dar

Dar- Lindi.

Hiyo itakuwa February.
Hapo nambadilishia stabiler link.
JPEG_20201215_150111_4676102360155811375.jpg
 
Road Trip zangu ni kama ifuatavyo.

DAR - Arusha-Nairobi - Kampala.

Nikirudi naenda kupumzika ufukweni kidogo then napiga moja ya

Dar- Mwanza - Serengeti.

Mwanza - Manyara - Dar

Dar- Lindi.

Hiyo itakuwa February.

Montana nambadilishia stabiler link.
View attachment 1650715

Nimezoom weeeh nimekodoa macho na magnifier hadi nimeona namba ya gari kwenye kioo 😜😜
 
Back
Top Bottom