Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Kwa Matuku unapita ukitoka Korogwe mjini kwenda Handeni, Kuna mkeka mzuri na magari machache Sana.Kwa Matuku sijapafahamu ila Handeni ni kubwa + mapori kibao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Matuku unapita ukitoka Korogwe mjini kwenda Handeni, Kuna mkeka mzuri na magari machache Sana.Kwa Matuku sijapafahamu ila Handeni ni kubwa + mapori kibao
Yaani zaidi ya mara 1 na hawajawa maswahiba tu? Na risiti ya 'kubetishwa' inakuachia na jina lake kabisa, yaani ilipaswa safari iliyofuata ukisimamishwa tu salamu na kuwaulizia kwa jina iwapo hayupo kama yupo unamuadress kwa jina straight umsalimiapo. Hii inasaidia kumkata maini anaona aah kumbe tupo wote road huyu, unawaachia hela ya brush mwendoEneo hili kuna matrafic wadada hivi kila nikipitaga hapo nikiwa zangu Masafa hunipiga chet kwa sababu ya Kuzidisha speed, awamu ijayo wakinipiga mkono tena napanga niombe Namba, Shachoka mie
Vumbi la huko sio la kitoto. Wakati wa mvua ni hatari. Basi zinatoka dar saa 12 asubuhi zina fika kilindi sita usiku. 120km handeni - kilindi vumbi.Unapita Kwediboma unaenda hadi Kibirashi unakutana na Junxtion ya kukupeleka Kiteto uko sahihi mkuu
Lakini pia unaweza kwenda moja kwa moja hafi Kilindi mjini ukapitia vijiji vya Mafulila ukatokea Gairo
One hell of a trip!Maelezo yamejitosheleza na ahsante.....nitakwenda kutembelea ziwa Rukwa kutokea Dar via Mboka ,Mpanda -Swax nikitoka ziwani ndo nitarudia kwa swax via Uvinza to Kigoma na nahisi ni njia fupi kuliko kwenda ziwani kupitia Mbeya
Tutatembelea usijaliView attachment 1824969
Chogo-Handen
Kuna watoto wakali mchanganyiko Somali na wazigua
Ningekuwa kidume leo ningelala hapo[emoji28][emoji28]
Ila nimeshangaa mpaka karne hii kuna maeneo hayana shule kabisa na watoto wanakuwa bila kujua kusoma wala kuandika
Itakuwa smooth kidogo kwani kutakuwa si kipindi chenye mvua......napiga hesabu nitakuwa nimezidisha kilometa ngapi za ziada kutoka kwenye original plan ya Dar - Kigoma via Mpanda na ikiwa nitaweza kuhimili budget yake itapendeza kwenda kuangalia uzuri na vivutio vya nchi yetuOne hell of a trip!
HBD+1,Naongeza mwaka mwingine nikiwa road.
Trip yangu ni nzuri .
UMENIBARIKI Mungu [emoji3059][emoji120]
Hbd to me .
Nyang'oro,U_turn za kutosha hadi raha gari inavyokunja hizi kona.View attachment 1825175View attachment 1825177View attachment 1825178View attachment 1825179
happiest birthday dear+1,Naongeza mwaka mwingine nikiwa road.
Trip yangu ni nzuri .
UMENIBARIKI Mungu [emoji3059][emoji120]
Hbd to me .
Nyang'oro,U_turn za kutosha hadi raha gari inavyokunja hizi kona.View attachment 1825175View attachment 1825177View attachment 1825178View attachment 1825179
Una moyo...View attachment 1825181after service, testing my beemer, with one hand taking video
H+1,Naongeza mwaka mwingine nikiwa road.
Trip yangu ni nzuri .
UMENIBARIKI Mungu [emoji3059][emoji120]
Hbd to me .
Nyang'oro,U_turn za kutosha hadi raha gari inavyokunja hizi kona.View attachment 1825175View attachment 1825177View attachment 1825178View attachment 1825179
Asante bro[emoji120]
Asante dada [emoji120]happiest birthday dear
Thank you[emoji5][emoji120]
Mbona hamna greenish? Hii nchi nzuri sanaNikitembea kote duniani,
Ndege huimba nawasikia,
Milima hupendeza macho sana.
Upepo nao nafurahia.
Roho yangu na ikuimbie Bwana Mungu,
Jinsi wewe ulivyo mkuu.View attachment 1825188
Don't speak louder....Ila ipo kwenye matengenezo, Jana nimetoka Dom saa nne na nusu usiku Nimefika Iringa saa Tisa kasoro na ist.Mahandaki[emoji38][emoji119]
Yaani hivi viraka vinakwaza sana kwa kweli..hiyo barabara tulipigwa.
Nani anipe kampani twende chogo-handeni kwa machotaraView attachment 1824969
Chogo-Handen
Kuna watoto wakali mchanganyiko Somali na wazigua
Ningekuwa kidume leo ningelala hapo[emoji28][emoji28]
Ila nimeshangaa mpaka karne hii kuna maeneo hayana shule kabisa na watoto wanakuwa bila kujua kusoma wala kuandika