Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Thanks boss wangu [emoji120]Happy Birthday Boss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks boss wangu [emoji120]Happy Birthday Boss
Road trip ni road trip tu...iwe kwa bus,au private car
Kwenda na kurudi hizo 25 au za kwenda pekee,......utatumia baiskeli za swala au hizi za kisasa😀😀😀This thread will live on.
Akina sie wa trips za baiskeli, pia tutashea hapa hapa kibishi. Kesho nina 25 KM za kukanyaga pedeli. 😎
-Kaveli-
Usitunyime mrejesho wa pics, tuone hiyo mashine ambayo injini yake ni kiuno..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji3]This thread will live on.
Akina sie wa trips za baiskeli, pia tutashea hapa hapa kibishi. Kesho nina 25 KM za kukanyaga pedeli. [emoji41]
-Kaveli-
Road trip ni road trip tu...iwe kwa bus,au private car
Na Sisi watembea kwa miguu road tunaruhusiwa kushiriki Kwenye uzi?Hata kwa bodaboda ama baiskeli, ni trip tu.
-Kaveli-
Mnaraha sana mnao endesha magari mazimaa. Mwenzenu chombo speed o meter haisomi. Goma la diesel mpaka li changanye lifike 100 umepambana haswa. Mtambo 5l tukutane Road kesho kutwa uelekeo dom.Na Sisi watembea kwa miguu road tunaruhusiwa kushiriki Kwenye uzi?
[emoji3][emoji3]Na Sisi watembea kwa miguu road tunaruhusiwa kushiriki Kwenye uzi?
Mzee una kiamsha wapi ? Nipo Dar any time naenda mala moja dodoma
Nna wiki 5 sijaonekana Dar. Natulia kama wiki hivi mjini nifanye na service. Dom ntaingia chap wiki ijayo na kurudi.Mzee una kiamsha wapi ? Nipo Dar any time naenda mala moja dodoma
Muhimu kuonekana na mjini ..Nna wiki 5 sijaonekana Dar. Natulia kama wiki hivi mjini nifanye na service. Dom ntaingia chap wiki ijayo na kurudi.
Muhimu sana. Dar itabaki kuwa Dar [emoji3]Muhimu kuonekana na mjini ..
Wana raha wanaoendesha.Mnaraha sana mnao endesha magari mazimaa. Mwenzenu chombo speed o meter haisomi. Goma la diesel mpaka li changanye lifike 100 umepambana haswa. Mtambo 5l tukutane Road kesho kutwa uelekeo dom.
Watuambie kama tunaruhusiwa tutiririke[emoji4][emoji38].[emoji3][emoji3]
Wana raha wanaoendesha.
Mimi sina gari boss,hata baiskeli Sina.
We usiniambie[emoji2960][emoji38]