Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wana raha wanaoendesha.
Mimi sina gari boss,hata baiskeli Sina.

Sisy, mie nitakununulia Baiskeli, upate kianzio kwa trips za hapa na pale.

Mkoko atakupa Holy Man ... for long trips.

Ufahamu wa magari & Driving skills, nakukabidhi kwa RRONDO.

Some tips on basic mechanics, mtaalamu Extrovert atakupa darasa.

-Kaveli-
 
Sisy, mie nitakununulia Baiskeli, upate kianzio kwa trips za hapa na pale.

Mkoko atakupa Holy Man ... for long trips.

Ufahamu wa magari & Driving skills, nakukabidhi kwa RRONDO.

Some tips on basic mechanics, mtaalamu Extrovert atakupa darasa.

-Kaveli-
We usiniambie[emoji2960][emoji38]
Kwahiyo mimi kazi yangu ni kuweka wese tu,au na wese anajitolea mtu kuniwekea[emoji38].

Ngoja wahusika waje kila mmoja asome majukumu yake[emoji38]
 
Hii nchi nzuri sana..,.
IMG_20210404_180451_1.jpg
 
Back
Top Bottom