Moyo uliobarikiwa na mungu akuzidishie ulipotoaSpesheli kwa itayemfaa
View attachment 1831988
#4193 45920 4688
Kwa atayeipata asiache kutupia roadtrip pics.
Muwe na road trips njema, usalama kwanza.
Happy Sunday ๐.
Ofa nzuri[emoji4],ila bahati mbaya imenipita.Spesheli kwa itayemfaa
View attachment 1831988
#4193 45920 4688
Kwa atayeipata asiache kutupia roadtrip pics.
Muwe na road trips njema, usalama kwanza.
Happy Sunday [emoji4].
Naomba siku moja viumane mie na wewe , hadi barabara iombe pooo.. subaru hakuna maajabu, yangu hadi nimegawia vijana site.. gari ya kijinga sana. Hii wiki inayo anza mda wowote nakinukisha dodoma kwanza then singidaKunaboa sana. Nilileta watu waone tu how much panaboa. Nilisoma O level kule, so nafahamu mitaa nikawaonyesha.
Less than sn hour later nikasepa nikaingia The Horizon Park, unakatiza kushoto kama 7km baada ya roundabout ukitokea Bagamoyo. Hapo ndio tukachill na kupata meal then tukarudi Dar.
Nikiwa naingia Bagamoyo Kuna washkaji walikuwa na Subaru Forester SG5 ina mwezi toka iingie Bongo... niliona anataka ligi, nikamtanguliza kama gari nne mbele. Less than a minute later hakuonekana kwenye side mirror [emoji23]
Kufika Bagamoyo tukajikuta tumefika sehemu moja, aka appreciate stori alizoskia kuhusu Fuga. Wakaomba irudiwe irudiwe wakabadilisha na dereva, tuongozana mpaka round about pale baada tu ya kuizunguka nikakanyaga nikayeyuka. Nikawasubiri mbele tukaongozana mpaka Horizon.
Ligi ilileta urafiki, tukakaa pamoja Horizon na kusepa pamoja kurudi Dar.
Subaru hamna gari mle mkuu ๐๐...wazee wa Subie tukutane kwenye hema la blue...tuna kikao chetu pale...[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]View attachment 1832775
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahKuna jamaa wa Mark X naona alikuwa anaipima Crown ila alichokiona leo atasimulia. I guess nae alikuwa na 4GR ila leo amejua sometimes gari ni dereva. Nimetembea nae kutoka Bagamoyo hadi Bunju muda aliokuwa ananisogelea ni kwenye 50kph/matuta
..hahahaa...sawa jirani of the next door.. [emoji1][emoji1]
Moyo uliobarikiwa na mungu akuzidishie ulipotoa
Ofa nzuri[emoji4],ila bahati mbaya imenipita.
Siku nyingine utukumbuke katika ufalme wako watumiaji wa Airtel.
My favourite route was A40>M40>M42>M6 Toll wakati huo haikuwa na cameras sijui siku hizi
Imepoa sana, no chance angenivimbiaSubaru hamna gari mle mkuu [emoji3][emoji3]
Mi nina pending route ya Dodoma ngoja nifanye mipango.Naomba siku moja viumane mie na wewe , hadi barabara iombe pooo.. subaru hakuna maajabu, yangu hadi nimegawia vijana site.. gari ya kijinga sana. Hii wiki inayo anza mda wowote nakinukisha dodoma kwanza then singida
Hamna gari mle . Kuna moja nilikuta showroom, ile ndio ilinitoa udenda kidogo, ina 2.5 GT ( 265HP ), ya 2010Imepoa sana, no chance angenivimbia
๐๐๐๐ ๐๐๐ tuje kutana kutokea gairo kuitafuta dodoma.. kile kipande huwa ni cha kutembea sanaaaa ukiweza futa speed zote hasa ukitoka kibaigwa juitafuta kongwa hadi chamwinoMi nina pending route ya Dodoma ngoja nifanye mipango.
Vitaumana soon
Kuna eneo linaitwa kipumbwi kama unatokea pangani kwenda bagamoyo.Duh Kipumbwi....[emoji23][emoji23]
Ubaya wa hizo picha zina sura za watu.Ooh my, I love beaches.
Kama hutojali tupicha tafadhali twa huko Ushongo Kipumbwi.
Tanzania yetu ni kubwa sanaa.
Tulikuwa Etina na washkaji tunapiga masanga.
Tumepata trip ya kwenda moro mara moja.
Narudi leoleo.
Ubaya wa hizo picha zina sura za watu.
Kuna hotel mbalimbali za kutosha huko.
Dar mpaka Moro๐๐๐Tulikuwa Etina na washkaji tunapiga masanga.
Tumepata trip ya kwenda moro mara moja.
Narudi leoleo.