Wazee wa โ€˜Road Tripโ€™ mpo?

Naomba siku moja viumane mie na wewe , hadi barabara iombe pooo.. subaru hakuna maajabu, yangu hadi nimegawia vijana site.. gari ya kijinga sana. Hii wiki inayo anza mda wowote nakinukisha dodoma kwanza then singida
 
My favourite route was A40>M40>M42>M6 Toll wakati huo haikuwa na cameras sijui siku hizi

Hizo ndio route nzuri kwa kuelekea North ila nilipita Luton kwa jamaa nikaenda kuunganisha mbele

Camera zipo baadhi tu na siku hizi barabara zote kubwa zimekuwa smart motorways na Digital Roads
Ila zimepunguza jam kwa kiasi kikubwa ingawa ni slow wakati mwingine
 
Mi nina pending route ya Dodoma ngoja nifanye mipango.

Vitaumana soon
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ tuje kutana kutokea gairo kuitafuta dodoma.. kile kipande huwa ni cha kutembea sanaaaa ukiweza futa speed zote hasa ukitoka kibaigwa juitafuta kongwa hadi chamwino
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ