[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msieeeew zako.Mimi ndio napenda kukaa nyuma[emoji12]
Duh hii ndio post yako ya kwanza na uko na taarifa nyingi tu [emoji23][emoji23]
Wengine tunakapitia kwa hasira mana kamekuja tumesha haribikiwa.Kauzi haka kanavutiwa wengi, hata guest mwisho wa siku ana amua ajisajiri tu humu
Tunaipenda wenyewe, tutavumiliana haina namna 🙂🙂🙂Road trippers nawakumbusha petrol Lita moja ni 2400 huko muendako inaweza kuwa 2600!
Safari njema
Tutazoea hii bei tu.Road trippers nawakumbusha petrol Lita moja ni 2400 huko muendako inaweza kuwa 2600!
Safari njema
Hakuna namna, huenda mbeleni pia yakashuka napo tutafurahiaKuna mabadiliko makubwa sana kwenye tank!
Bei ya mafuta kwenye soko la dunia inapanda.Hakuna namna, huenda mbeleni pia yakashuka napo tutafurahia
Ndio yanapanda, na pia yatashuka. Hakuna chart au graph inayopandaga tu kama mnaziBei ya mafuta kwenye soko la dunia inapanda.
Pipa 1 la Brent sahivi linauzwa $74.5 soko la dunia, ambayo ina translate bei hii ya Tsh. 2400. Bei ikifika $140 kama Feb 2009, bei inaweza kuwa Tsh. 4800 kwa lita.Ndio yanapanda, na pia yatashuka. Hakuna chart au graph inayopandaga tu kama mnazi
Ulivyp ona kipindi mafuta yameshuka ndivyo yanavyo panda, na pia yatashuka tena. Huo ni mfumo wa soko aina lolote lile, hata yapande paka 6,000 ila pia yatashuka piaPipa 1 la Brent sahivi linauzwa $74.5 soko la dunia, ambayo ina translate bei hii ya Tsh. 2400. Bei ikifika $140 kama Feb 2009, bei inaweza kuwa Tsh. 4800 kwa lita.
Naomba uweke rekodi. Kifupi yamepanda mfululizo miezi minne kwa wastani wa sh 100, kasoro ongezeko la mwezi huu limezidi 150 kwasababu kuna kodi imeongezeka sh 100. Siku ikishuka hadi kufikia bei ya miezi minne iliopita (2000+) nishtue.Ulivyp ona kipindi mafuta yameshuka ndivyo yanavyo panda, na pia yatashuka tena. Huo ni mfumo wa soko aina lolote lile, hata yapande paka 6,000 ila pia yatashuka pia
Siongei maneno matupu, naenda chart. Ndicho ninacho ongelea labda kama hatuelewani na ninacho maanisha. Kwenye market yoyote huwa kuna correction. Ndio maana nakataa kwamba yatapanda moja kwa mojaNaomba uweke rekodi. Kifupi yamepanda mfululizo miezi minne kwa wastani wa sh 100, kasoro ongezeko la mwezi huu limezidi 150 kwasababu kuna kodi imeongezeka sh 100. Siku ikishuka hadi kufikia bei ya miezi minne iliopita (2000+) nishtue.
Nimekwambia hivi yakishuka hadi tzs 2000 nishtue.Tazama hiyo chart. Nimekuwekea time frame ya mwezi, hizo candele black yalishuka thamani, na hizo nyeupe yamepanda thamani. Kuna kipindi yalikuwa juu kabisa na yakashuka chini kabisa karibia na hiyo hammer like, then yanapanda, ni kitu cha kawaida kwenye mafuta..
RRONDO