Na kwa ile Nissan Y60? Arusha unakwemda kwa full tanki moja au ?Ukisha nunua gari swala la mafuta usilalamike. kaa ukijua gari linahitaji mafuta mda wote. mm full tank ya majesta hainifikishi arusha lazima nijaze tena kabla sijafika moshi
😀😀😀 mkuu chombo hicho, mengine humu huwa just utani mkuu wangu. Chombo yako imenyooka sana bossKabisa nyie wazee wa kutembea mda wote bara barani ndio mnajua vyombo, ulivyokiita upumbavu nikakumbuka 35+M niliyodondosha mpaka kuitia mkononi + vi hela kadhaa vya kununua sterling rack ambayo bado ipo nairobi roho ikaniuma
Picha ina mda kidogo View attachment 1837236
Eh atleast wajapan wamepewa sifa kidogo maana tunaonekana tupo nyuma kweliChrysler ndani ni simple tu ila comfortability Chrysler ni kali halafu ni nzito pia inakimbia mno ni 240km ph. Crown Athelete nalijua sana ile gari nilinunua mwaka 2013 nikaliuza mwaka 2018. Nanimesafiri nalo sanaa mpaka basi. ni gari nzuri nalo lipo comfortable tena likiwa na mzigo ndio huwa linakaa vizuri barabarani. au uwe umepakia vibonge wanne nyuma. hahahahahhahhaha. ila kwa sasa nina majesta V8 naona ni kama ndege ndani fridge kila kitu sensors za kutosha. ukisafiri hautamani kufika.
Wajapana mbona mana gari haswaaEh atleast wajapan wamepewa sifa kidogo maana tunaonekana tupo nyuma kweli
Ile full tank mmoja ni cc 4500 dieselNa kwa ile Nissan Y60? Arusha unakwemda kwa full tanki moja au ?
nasometimes inakimbia mpaka 170km phIle full tank mmoja ni cc 4500 diesel
Majesta ina speaker 24 imekuja nazo ni sheeda. mpaka kwenye roof kuna speaker. pupwe mpaka kwenye roof, miguuni hadi kwenye seats. na viti vya nyuma vinalala kama vya mbelemaana hilo pupwe tu la ndani kama russia. full kipupwe full whiskey
full tank ikiwa hapa mjini inaisha haraka kuliko nikiwa safarini. ngoma haipendi foleni kabisa.Ukisha nunua gari swala la mafuta usilalamike. kaa ukijua gari linahitaji mafuta mda wote. mm full tank ya majesta hainifikishi arusha lazima nijaze tena kabla sijafika moshi
Ah kumbeCrown line yote ziko vizuri. Kumbuka kwenye line ya Toyota ndio luxury sedan.
AhWajapana mbona mana gari haswaa
160 au 170 huo ni mwendo tosha. na raha ya nissan kelele mkuu. kelele ndio mambo yake sasa. nikipitaga kariakoo waarabu na wapemba wananiuliza hauiuzi. Kila ninapopita nalo wale wanaojua magari lazima wakubali saa nyingine mu ananipigia tu salute kwaajili ya nissan y60.Hamna mwendo mle mkuu. Y60 la diesel lina kelele tu
Lina raha yake wewe huwezi jua mkuu.160 au 170 huo ni mwendo tosha. na raha ya nissan kelele mkuu. kelele ndio mambo yake sasa. nikipitaga kariakoo waarabu na wapemba wananiuliza hauiuzi. Kila ninapopita nalo wale wanaojua magari lazima wakubali saa nyingine mu ananipigia tu salute kwaajili ya nissan y60.
Unanitamanisha....ila cc zake ndo kikwazoMajesta ina speaker 24 imekuja nazo ni sheeda. mpaka kwenye roof kuna speaker. pupwe mpaka kwenye roof, miguuni hadi kwenye seats. na viti vya nyuma vinalala kama vya mbele