Inawezekana wameweka speed limit kwenye hilo gari. Mfano kisahani kinasoma 250kph ila ukikanyaga inaishia 240kph. Kuna nchi wana hizi sheria.
Au engine ya gari haina nguvu ya kutoboa 120kph. Au inahitaji a very long stretch kutoboa hiyo mark.
50-60kph
Aenda pembaaa 😃😃Waenda Unguja wewe....?
Nipo boss majukumu tu yanakabaUmepotea miss road trip
Naam niko kwa wala urojoWaenda Unguja wewe....?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Aenda pembaaa [emoji2][emoji2]
Binafsi napaonaga kuzuri tu mkuu na sie wengine hizi safari za baharini huwa zinatubariki sana though hii kwangu ni fupi mnoDuh huwezi amini hako kakisiwa sijawahi fika na sitamani
Duh huwezi amini hako kakisiwa sijawahi fika na sitamani
Wapi hapa?Tz is beautiful indeed [emoji176] my trip was bad though[emoji1751]
View attachment 1838331View attachment 1838332
Mbezi Stand yenu mpya ya baba kipenzi Anko Magu.Wapi hapa?
Umepotea mno.Nipo dada miss you too
Sitaitaja[emoji4]Gari ya kampuni gani hiyo?@saint Anne
Oohh karibu mama umefikia wapi na utakaa hadi liniUmepotea mno.
Nipo DSM.