Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Inawezekana wameweka speed limit kwenye hilo gari. Mfano kisahani kinasoma 250kph ila ukikanyaga inaishia 240kph. Kuna nchi wana hizi sheria.
Au engine ya gari haina nguvu ya kutoboa 120kph. Au inahitaji a very long stretch kutoboa hiyo mark.
Ooh okay sasa nimeelewa.