Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuokoa watu wanapo zama na meli kwa bahari, ziwa, mito [emoji846][emoji846][emoji846]
Haha choose your favorite, nitapokea kwa mikono yote 😂Ni aina ya wine mkuu... nzuri ukitaka nayo ipo .. basi nitakuletea Amarula mkuu hata vichupa vitatu vikubwa si vinakutosha au unataka Hennesy 😊
Oh[emoji120][emoji120]Maduka ya cosmetics unazipata. Ipo hivi View attachment 1842568
Yah! Unazama kweli, maana maji ya nguvu sana, ukichezea yana kumaliza. Ila sie tunaogelea na kuyajua maji kwa ajiri ya kazi za uokozi mkuu..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huendani na ukorofi [emoji1751].
Mimi siku nitakayoogelea ndiyo nitakayo zama.
Sawa mkuu, nitakuletea.Haha choose your favorite, nitapokea kwa mikono yote 😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Yah! Unazama kweli, maana maji ya nguvu sana, ukichezea yana kumaliza. Ila sie tunaogelea na kuyajua maji kwa ajiri ya kazi za uokozi mkuu..
Yah! Haiwezekani wote tukawa sawa sawa mkuu, duniani lazima tuwe mixer[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Ila siyo lazima wote tukawa waokozi.
Me mwenyewe nilishashindwa kuogelea ile deep.. Ila kiuchovu uchovu naweza 😂😳😳😳 hujakulia pwani mkuu.. kuna raha ya kuogelea kwa faida ya kimazoezi, tunaongeza pumzi.. na kiafya pia.
Hata pombe siyo lazima tunywe wote.Yah! Haiwezekani wote tukawa sawa sawa mkuu, duniani lazima tuwe mixer
Hujapata mwalimu mzuri, mie nakaa hadi chini ya maji kwa dk 2 .. bila kuibuka karibu siku moja upatd mafunzo uwe wakaa chini hata dk 1 bila kutoa kichwa chiniMe mwenyewe nilishashindwa kuogelea ile deep.. Ila kiuchovu uchovu naweza 😂
Safii kabisa, ndio maana nawaletea zawadi za wine mnazotaka .. najua ni nzuri sana ndio maana nitawaletea kama zawadi.Pombe ina raha ukinywa kwa kiasi Holy Man asikulete 🤣🤣
Imagine umekula umeshiba, afu unashushia na glass ya mvinyo? Kuna ka feeling amazing😂
Yaani amejitahidi sana kunikatisha tamaa.Pombe ina raha ukinywa kwa kiasi Holy Man asikulete [emoji1787][emoji1787]
Imagine umekula umeshiba, afu unashushia na glass ya mvinyo? Kuna ka feeling amazing[emoji23]
Unachukua sponge unalizungusha zungusha kichwani. Kuna vitundu vidogo kama utataka nywele ichambuke kidogo na kuna upande wa tundu kubwa vivyo hivyo.Oh[emoji120][emoji120]
Nazitumiaje Sasa?
Ushamba mzigo[emoji16].
Samahanini wana uzi,,nipo nje ya lengo la uzi.
Piga vitu vitamu vitamu 🙂🙂Hata pombe siyo lazima tunywe wote.
Wacha wachache tunywe.
Oh Asante[emoji120][emoji120]Unachukua sponge unalizungusha zungusha kichwani. Kuna vitundu vidogo kama utataka nywele ichambuke kidogo na kuna upande wa tundu kubwa vivyo hivyo.
Nimetamani 😍Hujapata mwalimu mzuri, mie nakaa hadi chini ya maji kwa dk 2 .. bila kuibuka karibu siku moja upatd mafunzo uwe wakaa chini hata dk 1 bila kutoa kichwa chini
Mungu wa Mbinguni anakuona,Piga vitu vitamu vitamu [emoji846][emoji846]
Haha, thanks in advance.Safii kabisa, ndio maana nawaletea zawadi za wine mnazotaka .. najua ni nzuri sana ndio maana nitawaletea kama zawadi.
Chief samahani, hii ni camera ya simu aina gani? [emoji91]