Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hata mimi sijawahi kunywa pombe.

Ila wanaokunywa wanasema inapunguza mawazo..
Wewe kwanini hudhani kama pombe inapunguza mawazo ili hali hujawahi kuonja?
Pombe haijatengezwa kuondoa mawazo mkuu. Ndio maana nasema hivyo. Mawazo huondolewa na wewe kukubalina na vinavyokupa mawazo either in -ve au +ve. Nimeona wengi wanakunywa pombe kwa kufikiria ivyo na mwisho wa siku wameharibikiwa zaidi, na wapo wanaotumia pia hawa haribikiwi.. so ina matokeo mawili.. safari njema ya uanzaji wa kupiga masanga
 
Pombe haijatengezwa kuondoa mawazo mkuu. Ndio maana nasema hivyo. Mawazo huondolewa na wewe kukubalina na vinavyokupa mawazo either in -ve au +ve. Nimeona wengi wanakunywa pombe kwa kufikiria ivyo na mwisho wa siku wameharibikiwa zaidi, na wapo wanaotumia pia hawa haribikiwi.. so ina matokeo mawili.. safari njema ya uanzaji wa kupiga masanga
Wameharibikiwa kivipi boss??..
Na hao ambao hawajaharibikiwa wapoje??
Kwahiyo si kweli kwamba pombe inapunguza mawazo??
Pombe ilitengenezwa kwa kusudi gani??.

Ati safari njema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bro[emoji23].
 
Wameharibikiwa kivipi boss??..
Na hao ambao hawajaharibikiwa wapoje??
Kwahiyo si kweli kwamba pombe inapunguza mawazo??
Pombe ilitengenezwa kwa kusudi gani??.

Ati safari njema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bro[emoji23].
Pombe sio dawa ya mawazo mkuu..

Kila la kheri chapa mambo ma desprado ma k vant henesi john walker savanah kama yote.. huenda zinatibu mawazo
 
Ndoa ni nzuri kwa wote tu.
Utajiri ni namna tu mtu anautafuta,
Wengine tunashindwa tu kuupata labda kwa sababu hatujajua Siri ya kuupata ama wakati wetu bado..
Mungu anamuwazia mema kila mtu.

Dhambi nitabeba mwenyewe maana nilishaamua mwenyewe kujaribu.
Hata Kama inapunguza mawazo kwa muda kidogo inafaa Sana,,yatapungua kwa muda kuliko muda wote niwe na mawazo.


Ngoja nikuelekeze nilipo,ukipata muda uje,lakini kwamba mimi nije ni uongo[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbeya tu nilishawahi potea njia ya nyumbani,itakuwa huku Dar???
Yaani serious nikitoka hapa napotea..sitanii.
Teh teh wewe unasemea umri wakati mwenzio kadiri miaka inavyozidi kuenda ndivyo ninavyozidi kujua ni kwa kiasi gani sihitaji ndoa! Wakati niko chuo hadi namaliza mawazo yangu yalikuwa kutafuta pesa, kusafiri, kuolewa na kuwa na happy family!

Ila ninavyozidi kukuwa ndivyo ninavyozidi kugundua kuwa those were just fantasies na ndoa ain't a bed of roses as y'all say or think! Na wakati mnaongelea masuala ya umri kuna wanawake wako 30 and above na wana mtazamo kama huu wa kwangu ni solo riders na they are successful and happy with their life!

Na kama ni kweli kuwa eti upweke ni stress kama mnavyosema basi mimi niko tayari kuzikabili stress za upweke kuliko stress za ndoa! Mwisho wa siku maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua kila binadamu ana haki ya kuchagua analoliona jema ama baya kwake ili mradi tu asimdhuru mtu yeyote wala asivunje sheria za nchi husika!
 
Pombe haijatengezwa kuondoa mawazo mkuu. Ndio maana nasema hivyo. Mawazo huondolewa na wewe kukubalina na vinavyokupa mawazo either in -ve au +ve. Nimeona wengi wanakunywa pombe kwa kufikiria ivyo na mwisho wa siku wameharibikiwa zaidi, na wapo wanaotumia pia hawa haribikiwi.. so ina matokeo mawili.. safari njema ya uanzaji wa kupiga masanga
Yeah duniani kuna makundi mawili tu ya watumiaji pombe kuna walevi na wanywaji! Wale wanaoharibikiwa ndiyo walevi ila wale wasioharibikiwa na wanaokunywa kwa nidhamu ni wanywaji tu!
 
Teh teh wewe unasemea umri wakati mwenzio kadiri miaka inavyozidi kuenda ndivyo ninavyozidi kujua ni kwa kiasi gani sihitaji ndoa! Wakati niko chuo hadi namaliza mawazo yangu yalikuwa kutafuta pesa, kusafiri, kuolewa na kuwa na happy family!

Ila ninavyozidi kukuwa ndivyo ninavyozidi kugundua kuwa those were just fantasies na ndoa ain't a bed of roses as y'all say or think! Na wakati mnaongelea masuala ya umri kuna wanawake wako 30 and above na wana mtazamo kama huu wa kwangu ni solo riders na they are successful and happy with their life!

Na kama ni kweli kuwa eti upweke ni stress kama mnavyosema basi mimi niko tayari kuzikabili stress za upweke kuliko stress za ndoa! Mwisho wa siku maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua kila binadamu ana haki ya kuchagua analoliona jema ama baya kwake ili mradi tu asimdhuru mtu yeyote wala asivunje sheria za nchi husika!
🥲🥲🥲 mnione niwape utamu ndoa.. achaneni na hiyo misimamo aseee
 
Yeah duniani kuna makundi mawili tu ya watumiaji pombe kuna walevi na wanywaji! Wale wanaoharibikiwa ndiyo walevi ila wale wasioharibikiwa na wanaokunywa kwa nidhamu ni wanywaji tu!
Ukitumia kiasi pasipo ku athari chochote, katika mfumo wa afya yako na akili zako, inakuwa good for you
 
Teh teh wewe unasemea umri wakati mwenzio kadiri miaka inavyozidi kuenda ndivyo ninavyozidi kujua ni kwa kiasi gani sihitaji ndoa! Wakati niko chuo hadi namaliza mawazo yangu yalikuwa kutafuta pesa, kusafiri, kuolewa na kuwa na happy family!

Ila ninavyozidi kukuwa ndivyo ninavyozidi kugundua kuwa those were just fantasies na ndoa ain't a bed of roses as y'all say or think! Na wakati mnaongelea masuala ya umri kuna wanawake wako 30 and above na wana mtazamo kama huu wa kwangu ni solo riders na they are successful and happy with their life!

Na kama ni kweli kuwa eti upweke ni stress kama mnavyosema basi mimi niko tayari kuzikabili stress za upweke kuliko stress za ndoa! Mwisho wa siku maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua kila binadamu ana haki ya kuchagua analoliona jema ama baya kwake ili mradi tu asimdhuru mtu yeyote wala asivunje sheria za nchi husika!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe bado mtoto mdogo.
Subiri,kadiri umri utakavyoongezeka,utakua kimawazo na kuanza kuhitaji kuwa na familia.


Hao walio above 30 na wana msimamo kama wako basi wanakudanganya..
Wengi wanakuwa wamekata tamaa(sizitaki hizi mbichi)
Watu sahihi wa kuwaoa hawajapatikana,mwishowe wanakuja na kauli kwamba ndoa siyo muhimu.
 
Hiyo taa ya chini kushoto ni ya nini?
Haka kataa kapo kapo sanaaa.. naona kwenye crown nyingi kapo .. haka mie toka kitambo kapo japo tyre zote zimebadilishwa

RRONDO
IMG_20210705_185932978.PORTRAIT.jpg
 
Oh Asante Sana Depal
emoji4.png
emoji120.png


Nitajaribu Saint Anna iliyo na jina langu nione namna gani kulewa kunakuwa na nione ladha ya pombe.

Nje ya mada;
Nywele zako kwenye avatar umetengenezaje(umepaka Nini)
Nimezipenda.
Jaribio jema. Remember to drink responsibly.... Sant Anna haina ukakasi ni tamu balaa 🥰

Nywele unatumia movit ya nywele fupi, au easy wave ila ile inakata nywele dawa ikiwa inaishia. Ukishaweka dawa ndio unanyoa pembeni kama itakupendeza then unatumia twists sponge kuziviriga.
 
Back
Top Bottom