Tupe darasa Karma, zinabariki vipi?Binafsi napaonaga kuzuri tu mkuu na sie wengine hizi safari za baharini huwa zinatubariki sana though hii kwangu ni fupi mno
Sanaaa yani.. imgn unaogelea zako hapa.. na mazingira mazuriNimetamani 😍
Maji yana utamu sana ukiyaweza.
Nzuri sana mwaya. 😍 hongera kwa kujua kupiga mbiziSanaaa yani.. imgn unaogelea zako hapa.. na mazingira mazuri
View attachment 1842582
Na siku mkiwa mkiwa free free, mniambie wote wapiga vyombo nitakuwa na offer yenu yaani special ya vyombo 🙂🙂Haha, thanks in advance.
Hahaha TZ kubwa, imetusambaratisha. Labda kama ni online offerNa siku mkiwa mkiwa free free, mniambie wote wapiga vyombo nitakuwa na offer yenu yaani special ya vyombo 🙂🙂
Tanzania ndogo mkuu, kama naweza ndani ya masaa 24 kutembea mikoa mitano, ni simple tu kula vibe mikoa taofauti ndani ya masaa machache 😀😀😀
Hahaha wine sio pombe nilivyokaririshwa. Mbona Mjini Kana mvinyo ulitumika?Yaani amejitahidi sana kunikatisha tamaa.
Kuna siku nilikuwa naongea na dogo mmoja,,ni Mwalimu wangu wa praise kanisani,akawa anasema yaani dada ukiwa kwenye tamasha,ukashushia na glass yako ya wine basi mambo burudani.
Nikajishangaa jinsi nilivyo nyuma ya wakati..
Hadi Mwalimu wangu anakunywa wine,mimi sijawahi.
Nitajaribu.
24hrs mikoa mi5? Ilo vibe wala halita bambaTanzania ndogo mkuu, kama naweza ndani ya masaa 24 kutembea mikoa mitano, ni simple tu kula vibe mikoa taofauti ndani ya masaa machache 😀😀😀
Haaa.. unakula shangwe viwanja tofauti tofauti 😀😀😀24hrs mikoa mi5? Ilo vibe wala halita bamba
Kweli kabisa.. mvinyo halali atwange tu safii huku miguu juuHahaha wine sio pombe nilivyokaririshwa. Mbona Mjini Kana mvinyo ulitumika?
Kuna namna wine is accepted & blessed
Hakika[emoji23]Hahaha wine sio pombe nilivyokaririshwa. Mbona Mjini Kana mvinyo ulitumika?
Kuna namna wine is accepted & blessed
Itakuwa online offer ,
Binadamu wabaya Sana[emoji38]Kweli kabisa.. mvinyo halali atwange tu safii huku miguu juu
DepalBinadamu wabaya Sana[emoji38]
Hallelujah. Kitu cha milk 😍
Hela tena ? Unataja sehemu uanyo enda kunywa tunalipa kwa mpesa tu.. 😀😀Itakuwa online offer ,
Anatuma hela wewe unaenda nunua [emoji4].
Mungu akupe Nini?[emoji23]